Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC: Ni aibu mkoa kuongoza uduni wa elimu

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku GallawaMKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amesema ni aibu kwa Mkoa kuongoza kwenye uduni wa elimu na kuwataka watendaji wa halmashauri kuhakikisha Mkoa unatoka hapo ulipo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni mstaafu Aseri Msangi akihutubia mamia ya wananchi waliofurika viwanja vya mabehewani wilayani Makete mkoani Njombe katika maadhimisho ya wiki ya elimu kimkoa.(Picha/habari na Edwin Moshi, Makete) Licha ya serikali kuendelea kutatua changamoto lukuki katika sekta ya elimu nchini, wadau wa elimu mkoani Njombe wametakiwa kuwajibika kila mmoja kwa nafasi yake, ili kuinua kiwango cha elimu mkoani humo kwa kuwa ni agizo la serikali hasa katika mkakati wa matokeo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aibu ya elimu tutajificha wapi?

SERIKALI imekuwa kama haioni maovu yanayofanywa kienyeji na watendaji wake  ndani ya sekta ya elimu. Na kama inaona basi inaamua kufumbia macho. Novemba 7, 2012, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri...

 

5 years ago

CCM Blog

MKUU WA MKOA KATAVI KUONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi MHE. Juma Homera anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika kuongoza Matembezi ya Uhamsishaji Machi 14, 2020 kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa Na Meno  Duniani, 2020 yatakayo anzia na kumalizikia: Viwanja vya  Shule ya Msingi Kashato kuanzia 12.45 ASubuhi 12.00 jioni. 

Ambapo Maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa Mkoani humo na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ummy Mwalimu.    

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU KUONGOZA HARAMBEE YA SEKONDARI ENABOISHU, ARUSHA

Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Enaboishu, Emmanuel Munga akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawako pichani). WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, anatarajiwa  kuwa mgeni rasmi katika kuchangia harambee ya ujenzi wa madarasa na vyumba vya walimu wa Shule ya Sekondari Enaboishu  iliyoko wilayani Arumeru mkoani Arusha. Akiongea na waandishi wa habari leo, jijini Dar es Salaama, mwenyekiti wa bodi ya ...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Habarileo

Wastaafu Tazara walalamikia uduni wa malipo

WASTAAFU wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelalamikia uongozi wa shirika hilo kwa kulipa malipo yao kwa kufuata utaratibu ambao hautambuliwi na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG).

 

10 years ago

GPL

BUSEGA: UBOVU WA MIUNDOMBINU, UDUNI WA HOSPITALI NI KERO!

BUSEGA ni miongoni mwa majimbo yanayopatikana ndani ya mkoa mpya wa Simiyu. Awali, jimbo hili lilikuwa ndani ya Mkoa wa Mwanza kabla ya mgawanyo wa mikoa uliofanyika siku za hivi karibuni. Mhe. Dk. Titus Dismas Mlengeya Kamani. Busega ni jimbo linalowakilishwa na Mhe. Dk. Titus Dismas Mlengeya Kamani ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Kabla ya hapo, Busega iliongozwa na Mhe. Dk. Raphael Chegeni. Katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kupuuza Sekta ya Kilimo chanzo cha uduni wa maendeleo

Pamba ni malighafi muhimu katika utengenezaji wa nguo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uwanja wa ndege Dar washika nafasi ya nne kwa uduni

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Moses Malaki amesema uwanja wake umechakaa kiasi cha kukosa sifa za kuwa uwanja wa kisasa barani Afrika na dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani