BUSEGA: UBOVU WA MIUNDOMBINU, UDUNI WA HOSPITALI NI KERO!
![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vBz*8tCftd0jjLALpSZ67UQrxZ0WJKG4T9e-FmChvgKmWxVLZLsvyr5YaNXOU3WPS4OWmGV9Fqi8p5pSH3o0fkm/Busega.jpg)
BUSEGA ni miongoni mwa majimbo yanayopatikana ndani ya mkoa mpya wa Simiyu. Awali, jimbo hili lilikuwa ndani ya Mkoa wa Mwanza kabla ya mgawanyo wa mikoa uliofanyika siku za hivi karibuni. Mhe. Dk. Titus Dismas Mlengeya Kamani. Busega ni jimbo linalowakilishwa na Mhe. Dk. Titus Dismas Mlengeya Kamani ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Kabla ya hapo, Busega iliongozwa na Mhe. Dk. Raphael Chegeni. Katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Serikali yajitetea ubovu miundombinu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jI510Q-pQ38rdo*gzkD0R-mKDMtXgHLp9RiIHTjDIMVVJ8p00j1xnF3rnACJCC-lQq-mzRQ-kXGV3BKpe0k6pf5/mtwara.jpg)
MTWARA: UBOVU WA MIUNDOMBINU CHANZO CHA MAFURIKO
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Kero hospitali zamkera Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amezitaka hospitali nchini kuacha karaha ambazo huwafanya wagonjwa hasa wa figo kuondoka kabla ya kupatiwa matibabu. Alitoa kauli hiyo juzi mjini hapa wakati wa maadhimisho ya siku ya afya ya figo duniani iliyofanyika katika viwanja wa Mwalimu Nyerere.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Mbunge ajipa miezi 6 kero ya shuka hospitali
MBUNGE wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka ameahidi kumaliza tatizo la shuka katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete, mkoani Tabora katika kipindi cha miezi sita ijayo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s72-c/E88A0424_1333.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA WAGONJWA WA HOSPITALI YA TENGERU NA KUWASIKILIZA KERO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s640/E88A0424_1333.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika hospitali ya tengeru alipofanya ziara ya ghafla hospitalin
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cl8i48-pOsU/VozjvhfUhdI/AAAAAAAAP5Q/xhfiiYwI0S8/s640/E88A0425_1250.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika...
11 years ago
Michuzi12 Feb
TBL YAKABIDHI WODI YA WAZAZI NA MIUNDOMBINU YA MAJI ILIYOKARABATIWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA, ILALA