RIDHIWANI KIKWETE ADHAMIRIA KUWAKOMBOA WANA CHALINZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-EboADI6A6zU/UyYAPXyOYmI/AAAAAAAFUHM/10yR7FwimcI/s72-c/CHZ+16.jpg)
Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Steven Kazidi akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwa Wananchi wa Kijiji cha Kibindu,Kata ya Mbwewe,Bagamoyo leo Machi 16,2014.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI,CHALINZE.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na wanakijiji wa kijiji cha Kwamsanja,wakati alipofika kwa ajili ya kuzungumza nao na kuwaomba kura katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s72-c/23.jpg)
NAPE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KWA WANA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s1600/23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m-yy2Rtexqw/UzCTrHIx9ZI/AAAAAAAAMjk/b_C84vB1nP4/s1600/24.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Mh. Ridhiwani Kikwete adhamiria kunyanyua michezo jimboni kwake
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake kwenye Jimbo hilo ambapo ameendelea kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo.
Mbali ya kuangalia masuala ya maendeleo pia kwenye suala la michezo hakuwa nyuma kwa kuweza kukabidhi jezi kwa kijiji cha Mboga ili kuendeleza michezo kwa vijana walioko kwenye kijiji hicho.
![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete kuharakisha maendeleo Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi katika Kijiji cha Changarikwa wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kuchagua viongozi wa Seikali ya Kijiji wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.CCM imepata ushindi wa Vijiji vyote katika 74 katika jimbo hilo.
Ridhiwani akisisitiza jambo alipokuwa akihutubia katika kijiji hicho ambapo aliwataka kuacha tabia ya kukata miti ovyo kwa ajili ya mkaa ama sivyo vijiji vitageuka jangwa.
Mkazi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEGWhG-45ESsZS1EwSpm*kQxSlcRQm3W7BC6VbOHPqSuRCy3ueQah312Dbi64wsJ02FfffNSDW*MYbItB1hngCf/2POM2.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s72-c/MMG27322.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s1600/MMG27322.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K64RQ5uESGg/Uz6Vtpzm5MI/AAAAAAAFYYk/9qz0WMRTJm8/s1600/MMG27311.jpg)
MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...
11 years ago
Habarileo16 Mar
Ridhiwani Kikwete aanza kampeni kuwania Chalinze
WAKATI leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, mgombea wa ubunge katika uchaguzi mwingine mdogo jimboni Chalinze, Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete jana alianza kwa kishindo kampeni zake.