Ridhiwani Kikwete awashukuru Wanachalinze kwa kumpa ridhaa ya kuwaongoza
Mbunge mteule wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na mjumbe wa kamati kuu ya CCM Mh. Jerry Silaa wakati wa mkutano wake wa kuwashukuru wananchi wa Chalinze kwa kumchagua kuwa mbunge wao uliofanyika katika Uwanja vya Miembe saba, Tume ya taifa ya Uchaguzi imemtangaza Mh.Ridiwani Kikwete kuwa mshindi katika uchaguzi uliofanyika juzi Aprili 6.(PICHA NA FULLSHANGWEBLOG).
Mke wa mbunge mteule wa jimbo la Chalinze Bi. Arafa Ridhiwani akiwasalimia mamia ya wananchi katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
9 years ago
Michuzi23 Oct
JELA KWA KUMTUSI KIKWETE NA RIDHIWANI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/6G9LThnHd29Q2c2CW78CTyUZ5fK87mBjJBw5z3nIo5iZzAmUGE4ERU1RvUzVStUWh-ZHGz4twiIyjU9Yjts1ziRNYA9RB-1fgR3fuuG_GVtTOwCOAn5De4i8EBHRXw_Tna2Jx75n4ducSIGyzr_PKsvCNqfvuMsdCRPYHsocHeW44UgCvzWH=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2925940/medRes/1155400/-/13gsam9z/-/JK+%2526+Ridhiwan.jpg?format=xhtml)
MKAZI wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Mbali na shitaka hilo, mshitakiwa huyo amesomewa shitaka lingine la kumtukana Ridhiwan Kikwete ambaye ni mtoto wa Rais Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze anayemaliza muda wake.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama ya mkoa Kilimanjaro,...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-w-OSdNJF8AU/U0Ebx5HznSI/AAAAAAAAM7g/GID_WmB7gfY/s1600/1.jpg)
RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s72-c/23.jpg)
NAPE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KWA WANA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s1600/23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m-yy2Rtexqw/UzCTrHIx9ZI/AAAAAAAAMjk/b_C84vB1nP4/s1600/24.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ridhiwani Kikwete atoa msaada kwa Jeshi la Polisi Chalinze
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza na uongozi wa polisi Mkoa wa Pwani na Wilaya ya Kipolisi ya Chalinze pamoja na wananchi waliojitokeza katika hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali kwa jeshi hilo zikiwemo kompyuta, mifuko ya Saruji pamoja na fedha vilivyotolewa na mbunge huyo, Kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali yanayolikabili jeshi la polisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya ulizni na usalama wa raia na mali zao. Pamoja na kukabidhi kompyuta hizo...