Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIHANNA AKIWA AMETUPIA KITU CHA KIAFRIKA

Fundi wa nguo hii ni Stella Jean ikiwa imeshonwa kwa kitambaa cha kiafrika na  nguo hii inauzwa kwa bei ya Dollar 1,069  lakini sasa hipo kwenye sale ya 40% off unaweza kupata kwa Dollar 641. Habari ndiyo hiyo ukiweza jipinde na wewe maana ndiyo kipindi cha tax hiki ukipata tu jibullet bullets na kitu lichovaa Rihanna kiroho safi.
Stella Jean draws inspiration from vibrant African wax prints to create this multicoloured Barbara dress. It’s cut to a flattering, 1950s-style silhouette, with...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kupata chakula cha Kiafrika Uingereza

Ughaibuni, huwa ni gharama kwenda hotelini kila siku. Lakini kuna njia nyingine ambazo unaweza kuzitumia kupata chakula cha Kiafrika.

 

10 years ago

CloudsFM

Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.

Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).

Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...

 

9 years ago

Global Publishers

11 years ago

GPL

KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!

Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, KUNA KITU CHA KUJIFUNZA!

NASIB Abdul, ambaye uwezo wake wa muziki wa kizazi kipya umempatia jina la Diamond Platnumz, mwishoni mwa wiki iliyopita katika tamasha la Fiesta, pale Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, itabaki kuwa ndani ya kumbukumbu zake, angalau kwa miaka kadhaa ijayo. Mamia ya mashabiki waliojazana katika viwanja hivyo, walimzomea kwa nguvu kubwa, tofauti na matarajio ya wengi kwamba angefunika, kama wenyewe wanavyosema. Kelele...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Msanii kutoa album ni kitu cha lazima

mwana Fa

Mwana FA ni miongoni mwa wasanii wa kitambo ambao hadi sasa wanaendelea kufanya muziki, tena kwa upande wake ameanza kufanya kwa level za kuelekea kimataifa.

mwana Fa

FA ambaye ameachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’, wimbo ambao video yake imefanyika Afrika Kusini, ametoa msimamo wake kuhusu umuhimu wa album kwa msanii.

“Kufanyika albam ni lazima lakini tuje na idea ni jinsi gani tutauza, tunaweza kuifanya hii kazi ya distribution wenyewe, au tunaweza kuwafikia wale watu ambao wahindi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kila kitu kijijini humu ni cha Obama: Wapi ?

Kijiji cha Kogelo Magharibi mwa Kenya, bado kinamatarajio makubwa miongoni mwa wenyeji wake kuwa rais Obama ataenda huko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani