Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana FA: Msanii kutoa album ni kitu cha lazima

mwana Fa

Mwana FA ni miongoni mwa wasanii wa kitambo ambao hadi sasa wanaendelea kufanya muziki, tena kwa upande wake ameanza kufanya kwa level za kuelekea kimataifa.

mwana Fa

FA ambaye ameachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’, wimbo ambao video yake imefanyika Afrika Kusini, ametoa msimamo wake kuhusu umuhimu wa album kwa msanii.

“Kufanyika albam ni lazima lakini tuje na idea ni jinsi gani tutauza, tunaweza kuifanya hii kazi ya distribution wenyewe, au tunaweza kuwafikia wale watu ambao wahindi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA MWANA LAZIMA KIJASHO CHEMBABA KIKUTOKE!

Ikoje watu wa Saa Godi? Nipo tena kwa mahewa kukisanua hapa kwa fasi ya jamvini arifu. Heroo kwani kuna kwikwi? Haina kitu, kaa humu wewe uwe mjanja!Bifoo sijazama kwa mastori moo kuna ishu moko fekelo kinoma naona dizaini kama inashika kasi. Eti kichwa mbulula kinaacha kupiga mzigo kutengeneza mkwanja anaanza kukrosi kwenye mapaking tauni anajipiga mafoto makare na ndiga za watu dheni anatupia kwa insta eti abauti lasti naiti!...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwana FA: Msanii kukaa kimya ni heshima

MWANAFANA JENNIFER ULLEMBO
WAKATI wasanii wengi wa Bongo Fleva wakifikiria kutoa nyimbo zao mfululizo, msanii mwenzao, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ anaendelea kutunza heshima yake kwa kutokutoa wimbo kwa muda mrefu.
Mwana FA aliliambia MTANZANIA kwamba, msanii kuwa kimya si kuishiwa mashairi bali ni hali ya kutunza heshima yako kwa mashabiki.
Alifafanua kwamba, idadi kubwa ya wasanii wanaofanikiwa katika muziki huo hutumia muda mwingi kufikiria vitu vipya ili kuboresha kazi zao tofauti na...

 

9 years ago

Bongo5

Msanii anayetaka kuwa wa kimataifa ni lazima ajue kiingereza — Diamond

Naseeb ‘Diamond Platnumz’ Abdul amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii yeyote anayetaka kuwa wa kimataifa, kwasababu ndio kiungo kikubwa na muhimu kati ya msanii na wadau muhimu wa nje. Diamond amesimulia jinsi ambavyo kiingereza kilimpa changamoto wakati alipoanza kulitafuta soko la kimataifa na kumsababisha afanye juhudi binafsi za kujifunza. “Mwaka jana nilipata […]

 

11 years ago

Bongo5

R.Kelly atangaza kutoa album ya muziki wa ‘House’

Muimbaji wa R&B, Robert Kelly ametangaza kuwa anatarajia kutoa album ya muziki wa ‘House’ ambayo tayari ameanza kuiandaa. “I’m working on a house album right now and I want y’all to know, it’s coming,” Alisema Kelly. R.Kelly ambaye album yake ya 12 ‘Black Panties’ iliyotoka december 10, 2013 Marekani, imekamata nafasi ya 4 katika Billboard […]

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella hana mpango wa kutoa album

Nyota wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Christian Bella amesema hana mpango wa kuachia album kutokana na anguko la soko pamoja na kudai kazi zake zinaishi kwa muda mrefu. Bella ambaye ameachia wimbo mpya pamoja na bendi yake uitwao, Amerudi, amesema amejipanga kuboresha zaidi kazi zake ili ziwe na mvuto na ziishi kwa muda mrefu […]

 

10 years ago

Bongo5

Davido ampongeza Wizkid kwa kutoa album mpya

Davido amethibitisha kuwa hana kinyongo cha mafanikio ya msanii mwenzake Wizkid ambaye wiki kadhaa zilizopita wamekuwa wakirushiana vijembe kupitia Twitter, na baadae kila mmoja kukana kutokuwa na beef na mwenzie katika mahojiano waliyofanyiwa hivi karibuni kwa nyakati tofauti. Davido ametumia akaunti yake ya Twitter kumpongeza Wizkid na P-Square ambao wameachia album zao mpya na kuwaombea […]

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!

Ninafahamu na ni ukweli usiopingika kuwa album haziuzi lakini hiyo si sababu tosha ya wasanii kuacha kabisa kutoa album. Tunakosa uhondo. Wakati ambapo tunaendelea kuumizwa kichwa kuhusu namna mpya ya kusambaza album za wasanii, nadhani wasanii hawapaswi kabisa kukaa na ngoma zao maghetoni. Kuna faida gani ya kukaa na nyimbo ndani ambazo baadaye unaishia kuzichukia […]

 

9 years ago

Bongo5

Babu Tale awashauri wasanii kutoa album na kuacha kuhofia kuibiwa

babu-tale

Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amewataka wasanii wa Tanzania kuacha kuogopa kutoa album kwa madai ya kuogopa kuibiwa.

Babu Tale akiwasili jijini Mwanza

Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Tale alisema zipo nchi ambazo zinaongoza kwa wizi wa kazi za wasanii lakini bado wasanii wao wanatoa album.

“Wizi upo dunia nzima,” alisema Tale. “Ukienda Nigeria kuanzia airport wanafanya piracy. Hata Marekani, nafikiri ndio nchi ambayo inatushinda sisi hata kwa mambo ya digital lakini still bado wanatoa album na...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuondoka YMCMB, awalaumu kwa kuzuia kutoa album yake

Lil Wayne ameishutumu label yake ya Young Money (YMCMB) kwa kuzuia kutoa album yake ya ‘Tha Carter V’ na kutishia kuondoka kwenye label hiyo. Weezy ameandika tweet kama mvua za kulalamika, “Kwa mashabiki wangu wote, nataka wote mjue kwamba album yangu haitatoka na haijatoka kwasababu Baby (Bird Man) na Cash Money Rec wamekataa kuitoa”. Aliandika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani