Rihanna Aachia Kipande Kingine cha Antdiary: Room 7
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Jan
New Music: Rihanna aachia wimbo mpya ‘Four Five Seconds’ Ft. Kanye West na Paul McCartney
Rihanna ameachia wimbo mpya unaoitwa “FourFiveSeconds”, ambao kawashirikisha rapper Kanye West pamoja na Paul McCartney. Wimbo huo ameuweka kwenye website yake rasmi rihannanow.com. Riri yuko kwenye matayarisho ya album yake mpya iatakayokuwa ya nane ambayo itakuwa inafuata baada ya “Unapologetic” aliyoitoa 2012.
11 years ago
Habarileo06 May
Chama kingine cha siasa chasajiliwa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), jana kilikabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kituo kingine cha polisi chavamiwa
Kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia na kuvunja stoo ya Kituo kidogo cha Polisi Mngeta, Kilombero na kuiba bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kihunzi kingine cha Katiba inayopendekezwa
Katiba inayopendekezwa itakutana na kihunzi kingine katika utekelezwaji wake kutokana na Zanzibar kutakiwa kubadili Katiba yake, zikiwamo ibara zilizobeba msingi wa mabadiliko ya 10 katika Katiba ya Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Statoil yagundua kisima kingine cha gesi asili
Kampuni ya Statoil ikishirikiana na Exxon Mobil, imetangaza kugundulika kwa gesi asilia katika eneo jipya la Giligiliani-1 katika ukanda wa Bahari ya Hindi.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kiasi kingine kikubwa cha gesi chagunduliwa nchini
Kampuni ya Statoil ya Norway na mshirika wake ExxonMobil wamegundua kiasi kingine kikubwa cha gesi katika Bahari ya Hindi nchini Tanzania.
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
ACT wafanikiwa kuchukua kiti kingine cha Udiwani Kagera!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Chama cha ACT upitia mtandao wake wa Twitter wametaarifu kuwa chama hicho kimefanikiwa kutwaa nafasi ya kiti cha Udiwani kupitia Kata ya Kagera, iliyopo katika mji wa Kigoma Ujiji, Mkoani Kigoma. Kupitia kwenye akaunti yao hiyo ya chama hicho ya ACTwazalendo (Taifa kwanza) wameandika: #Uchaguzi uliofanyika Leo kata ya Kagera @ACTwazalendo tumeshinda kwa kishindo kikubwa tunawashukuru sana kwa kutuamini na kutupatia Diwani.” ulisomeka ujumbe...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s72-c/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
KIPAJI KINGINE CHA MAGUFULI NA UCHAPAKAZI WAKE HIKI HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s640/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
Wanamichezo wamekuwa wakijiuliza kama mgombea wa urais wa CCM, John Pombe Magufuli ni mpenda michezo.Ingawa wapo wanaoamini ni mpenda michezo, lakini inaonekana wazi kuwa anapenda sanaa.Kipaji cha sanaa ambacho amekuwa hakionyesha mara kwa mara ni upigaji wa ngoma ambazo ikitokea ameona watu wanazitandika, amekuwa hajivungi kama picha hii inavyoonyesha.Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM baada ya kuwashinda wagombea wengine 37 walioonyesha nia.CCM kupitia mwenyekiti wake, Jakaya...
10 years ago
MichuziMAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania