Kiasi kingine kikubwa cha gesi chagunduliwa nchini
Kampuni ya Statoil ya Norway na mshirika wake ExxonMobil wamegundua kiasi kingine kikubwa cha gesi katika Bahari ya Hindi nchini Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
kiasi kingine kikubwa cha gesi chagundulika bahari kuu Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-CrRXW921Kxo/U6F1c-dq4MI/AAAAAAAFrfg/umV3lM9-SwY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Ugunduzi huu unahusisha kisima cha Piri-1 ambapo kiasi kilichopatikana kinakadiriwa kufikia trilioni mbili mpaka tatu za ujazo wa gesi asilia yaani trillion cubic feet (tcf) kwa kiingereza.
Ugunduzi huu unafanya jumla ya ujazo wa gesi iliyogundulika na washirika hawa kufikia takribani tcf 20 kwenye kitalu namba 2 ambapo washirika hawa wanafanya shughuli za...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Statoil yagundua kisima kingine cha gesi asili
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Kwa kiasi kikubwa Bunge letu linastahili lawama
9 years ago
StarTV05 Oct
Maendeleo duni ya elimu Jamii yadaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa
Sekta ya elimu wilayani Geita inakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazorudisha nyuma maendeleo ya sekta jamii ikidaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kutokuwa na utayari wa kushirikiana na Serikali kuondoa mapungufu yaliyoko ndani ya uwezo wao.
Utafiti uliofanywa na shirika la Nelico kwa ufadhili wa Pestalozzi Children’s Foundation imebaini mazingira yasiyo rafiki kama ubovu wa miundombinu, ukosefu wa vyoo bora na upungufu wa madawati na vyoo bado kikwazo kikubwa ambacho...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Rushwa ni kichocheo kikubwa cha umaskini nchini
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Mkurugenzi TAKUKURU Dkt. Edward Hoseah asema miaka 10 ya JK imepambana na rushwa kwa kiasi kikubwa
Amesema, ongezeko hilo la kesi kubwa limetokana na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Rr8EigiMtG0/VfKVwUCDOcI/AAAAAAAH3-M/aQWWKPrGX-I/s72-c/PIC%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA UJENZI WA KITUO KIKUBWA CHA TIBA YA MOYO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rr8EigiMtG0/VfKVwUCDOcI/AAAAAAAH3-M/aQWWKPrGX-I/s640/PIC%2B1.jpg)
9 years ago
VijimamboMKURUGENZI TAKUKURU DKT EDWARD HOSEAH ASEMA MIAKA KUMI YA JK IMEPAMBANA NA RUSHWA KWA KIASI KIKUBWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GLDDPJXVlpk/Xs5vIx_5xWI/AAAAAAALrv4/maDgdDmF9zw9P3AG9yo1ponBdXtVikCagCLcBGAsYHQ/s72-c/213.jpg)
SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA