Rihanna Awatega Mashabiki Wake
Rihanna
DIVA wa muziki wa Pop, Rihanna ameendeleza kuwatega mashabiki wake kwa kushirikiana na Kampuni ya Sumsung baada ya kuachia vipande vingine vya video alivyoviita ANTIdiaRY ambapo ameachia chumba namba tano.
Katika chumba hicho cha tano, Rihanna anaoenekana akiwa ndani ya jakuzi akioga kisha anainamisha kichwa chini na kuinuka na baada ya hapo kupitia mlango wa vioo wa bafuni hapo anaonekana mtoto mwenye taji kichwani aliyetumika katika albamu mpya.
Rihanna aliamua kufanya hivyo kwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake
![Amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Amini-300x194.jpg)
Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxmHo0rtQL8Y6xxl7kEn0d-XhIkwsOixDMC50GGO-OqBC2AlCdtoy3xD*PaEKznaw8jVTgP89yka8YVtxJi4*KMg/278xNxRihannaHitsChanelsParisfashionShowInaUnbuttonedDress.jpg.pagespeed.ic.KLDQ2UEjVh.jpg?width=650)
RIHANNA AAIBISHWA NA BOYFRIEND WAKE MPYA
11 years ago
Bongo502 Aug
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Corithians yawaenzi mashabiki wake
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Faiza awachanganya mashabiki wake
NA MWANDISHI WETU
MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amewachanganya mashabiki wake baada ya kuandika kwenye akaunti yake ya Facebook na kudai kwamba amefariki.
Hata hivyo, msanii huyo amesema kuwa aliandika hivyo kutokana na kuchukizwa na waongozaji wa filamu yake mpya ambao wanachelewesha kufanya kazi hiyo.
“Sikuona kama ni tatizo kuandika hivyo na baadaye ndugu na jamaa wakajua kama ni mzima, ila niliamua kufanya hivyo,” aliandika Faiza.
Hata hivyo, mashabiki wamemtupia lawama msanii...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZHwlIMnY51JMXRI-n541eBO5lUaKHdCETfvoHaSU9pnCG-KKTVYlwrS2KlGaH29jwNJ3J2eVvnv5xZiNcRPCBg0*zuFFGKRK/stamina.jpg?width=650)
STAMINA AWAZAWADIA MASHABIKI WAKE
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Linex aomba radhi mashabiki wake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu amewataka radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufanya uzinduzi wa video yake ya ‘Wema Kwa Ubaya’ ambayo alipanga kuizindua Agosti 31, katika ukumbi...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Mjomba Mpoto awaita mashabiki wake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amemaliza mwaka kwa kuwashushia mashabiki wake kibao kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Waite’. Mjomba anatamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘Chocheeni...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Stand United yashitaki mashabiki wake
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Stand United umewafungulia mashtaka mashabiki wa timu hiyo kwa kitendo kibaya walichokifanya cha kumvamia na kutaka kumpiga Kocha Mkuu Patrick Liewig juzi, baada ya kumalizika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Stand ilimaliza mchezo huo kwa kupokea kichapo cha mabao 2-0, kitendo kilichoamsha hasira za mashabiki na baadhi yao kumvamia kocha huyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa...