Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rihanna Awatega Mashabiki Wake

rihanna-room-5Rihanna

DIVA wa muziki wa Pop, Rihanna ameendeleza kuwatega mashabiki wake kwa kushirikiana na Kampuni ya Sumsung baada ya kuachia vipande vingine vya video alivyoviita ANTIdiaRY ambapo ameachia chumba namba tano.

Katika chumba hicho cha tano, Rihanna anaoenekana akiwa ndani ya jakuzi akioga kisha anainamisha kichwa chini na kuinuka na baada ya hapo kupitia mlango wa vioo wa bafuni hapo anaonekana mtoto mwenye taji kichwani aliyetumika katika albamu mpya.

Rihanna aliamua kufanya hivyo kwa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake

Amini

Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.

amini

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.

“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...

 

9 years ago

GPL

RIHANNA AAIBISHWA NA BOYFRIEND WAKE MPYA

Nyota wa muziki wa Pop, Rihanna. New York, Marekani NYOTA wa muziki wa Pop, Rihanna hivi karibuni alijikuta akiaibika mbele ya mashabiki wake baada ya kuvuja kwa kipande cha video katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha mpenzi wake mpya, Travis Scott akitumia dawa za kulevya aina ya Cocaine. Katika kipande hicho cha video, Scott alionekana akiwa nyuma ya gari akijidunga dawa hizo huku akiongea… ...

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Corithians yawaenzi mashabiki wake

Timu ya Corithians ya Brazil imetenga eneo la kuwazika wachezaji na mashabiki wake ili kuwaenzi kwa mchango wao kwa timu hiyo

 

9 years ago

Mtanzania

Faiza awachanganya mashabiki wake

faizaNA MWANDISHI WETU

MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amewachanganya mashabiki wake baada ya kuandika kwenye akaunti yake ya Facebook na kudai kwamba amefariki.

Hata hivyo, msanii huyo amesema kuwa aliandika hivyo kutokana na kuchukizwa na waongozaji wa filamu yake mpya ambao wanachelewesha kufanya kazi hiyo.

“Sikuona kama ni tatizo kuandika hivyo na baadaye ndugu na jamaa wakajua kama ni mzima, ila niliamua kufanya hivyo,” aliandika Faiza.

Hata hivyo, mashabiki wamemtupia lawama msanii...

 

9 years ago

GPL

STAMINA AWAZAWADIA MASHABIKI WAKE

Mkali wa mistari Kwenzi, Bonaventura Kibogo ‘Stamina’. MKALI wa mistari Kwenzi, Bonaventura Kibogo ‘Stamina’ amewazawadia mashabiki wake wimbo ‘bonus track’ ikiwa ni kuwashukuru kwa kumfikisha alipo na kuwakumbusha historia yake ya muziki na maisha yake kabla na baada ya kutoka kwenye gemu. Stamina ameachia wimbo huo unaokwenda kwa jina la Mr. Bonaventure wikiendi iliyopita siku ambayo alikuwa akisherehekea siku...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Linex aomba radhi mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu amewataka radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufanya uzinduzi wa video yake ya ‘Wema Kwa Ubaya’ ambayo alipanga kuizindua Agosti 31, katika ukumbi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjomba Mpoto awaita mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amemaliza mwaka kwa kuwashushia mashabiki wake kibao kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Waite’. Mjomba anatamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘Chocheeni...

 

9 years ago

Mtanzania

Stand United yashitaki mashabiki wake

b3NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa timu ya Stand United umewafungulia mashtaka mashabiki wa timu hiyo kwa kitendo kibaya walichokifanya cha kumvamia na kutaka kumpiga Kocha Mkuu Patrick Liewig juzi, baada ya kumalizika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

Stand ilimaliza mchezo huo kwa kupokea kichapo cha mabao 2-0, kitendo kilichoamsha hasira za mashabiki na baadhi yao kumvamia kocha huyo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani