Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIYAMA AZUA UTATA HOTELINI

Stori: Emelder Tarimo WHY? Mwigizaji mwenye sura ya upole, Riyama Ally amezua utata akidaiwa kumshushia varangati rafiki yake kipenzi, Prodyuza Emmanuel Sewando ‘Manecky’ baada ya kumkuta akiponda raha na mwanamke hotelini. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Riyama Ally. Ilielezwa kuwa tukio hilo lilitokea juzikati kwenye hoteli moja iliyopo Kijitonyama, Dar ambapo mastaa wengi huenda kuogelea lakini Riyama hakufurahishwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JB AZUA UTATA KLABU!

BIG brother wa filamu za Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amezua utata kwenye klabu mpya ya Princess Cassino iliyopo Posta mpya, Dar kufuatia minong’ono kuwa, yeye ndiye mmiliki wake.
Hali hiyo ilijitokeza juzi kati kwenye uzinduzi wa klabu hiyo ambapo msanii huyo ndiye alionekana kuwa mwenyeji kwa kukatiza kila mahali. BIG brother wa filamu za Bongo, Jacob Steven ‘JB’ “Hivi, JB ndiye mwenye hii...

 

10 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA AZUA UTATA WA UCHUMBA

Stori:  ERICK EVARIST
MISS Universe Tanzania 2007, Flaviana Matata amezua utata wa aina yake baada ya picha zinazomuonesha katika tukio la kuchumbiwa kunaswa na mwenyewe kudai si yeye aliyechumbiwa. Miss Universe Tanzania 2007, Flaviana Matata. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo limedaiwa kufanyika kwa siri hivi karibuni nyumbani kwa miss huyo, Shinyanga na kuhudhuriwa na baadhi ya ndugu wa karibu. “Inaonesha...

 

11 years ago

GPL

Mhindi aivamia Yanga, azua utata

Mtu mmoja mwenye asili ya Kihindi,akiongea jambo na kocha wa Yanga SC Mbrazili, Marcio Maximo Na Mohammed Mdose
KATIKA hali isiyo ya kawaida, juzi Jumamosi majira ya asubuhi, mtu mmoja mwenye asili ya Kihindi, aliingilia mazoezi ya Yanga yaliyokuwa yakiendelea kwenye Ufukwe wa Aga Khan jijini Dar.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii 17 wavamiwa hotelini

KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 27 wameuawa hotelini Tunisia

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa takriban watu 27

 

10 years ago

Michuzi

TUNISIA: WATU 37 WAMEUAWA HOTELINI

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 37. Maafisa wa serikali ya Tunisia wamesema kuwa mmoja wa washambuliaji hao aliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa ulinzi na kuwa waliosalia bado wanasakwa na polisi. Shambulio hilo lilitokea katika mji wa Sousse, ambao huwavutia maelfu ya watalii kutoka bara Ulaya na Afrika ya Kaskazini. Hili lilikuwa shambulizi la pili dhidi ya hoteli ya watalii nchini Tunisia katika kipindi cha miezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar wazuiliwa hotelini Nairobi

p>KIKOSI cha timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’, kimeshindwa kuondoka jijini Nairobi juzi kama ilivyopangwa baada ya kuzuiliwa hotelini walipofikia kwa madai ya kudaiwa fedha kutokana na waandaaji wa...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yaua polisi hotelini

ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makabiliano Hotelini Somalia yamalizika

Serikali ya Somalia imesema mapigano yaliokuwa kwenye hoteli moja mjini Mogadishu kufuatia uvamizi wa Al shabaab yamemalizika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani