Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roger Federer kucheza na Martina Hingis Rio

Roger Federer atashirikiana na bingwa wa zamani wa Wimbledon Martina Hingis kutoka katika mashindano ya jinsia mchanganyiko mjini Rio.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Novak Djokovic ambwaga Roger Federer.

Mchezaji Tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roger Federer akosoa ulinzi Uwanjani

Mcheza tenis Roger Federer amekosoa ulinzi uliopo katika mashindano ya French Open baada ya mtazamaji mmoja kumkimbilia uwanjani

 

10 years ago

BBCSwahili

Rafael Nadal,Roger Federer washinda

Mcheza tenesi nyota Rafael Nadal ameingia raundi ya nne ya michuano ya wazi ya BNP Paribas.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roger Federer aanza vyema katika Tennesi

Bingwa wa dunia katika mchezo wa Tennesi Roger Federer ameanza vyema safari yake mwishoni mwa msimu mjini London.

 

9 years ago

Bongo5

Novak Djokovic amshinda Roger Federer katika mashindano ya ATP

2EB5499A00000578-0-image-a-7_1448233966202

Mchezaji tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake vizuri kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.

2EB463EA00000578-3329545-image-a-47_1448222732205

Ameweka rekodi ya taji la nne mfululizo la mashindano ya ATP.

Djokovic alifanikiwa kushinda kwa seti 6-3, 6-4 katika dakika 80 za mchezo huko London, na aliweza kusahihisha makosa yake baada ya mechi ya mwanzo ya makundi kufungwa na Roger Federer.

Mpaka sasa Djokovic anamaliza mwaka huu kwa kushinda mataji 11 yakiwemo ya matatu ya Gland slam, na kwa upande wake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Martina , Sania mabingwa wa tenesi

Martina Hingis na Sania Mirza, wametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Us Open

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

PROFILE : Remember a girl called Martina Chambiri?

Sometime in 1995, a five-year-old girl’s sweet voice hit the airwaves with a song about Tanzania. The song, which many still remember to-date and which became a hit for some time, thanks to the sweetness of the little girl’s babyish voice, was in praise of the country’s beauty.

 

11 years ago

GPL

MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI‏

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani