Rose Muhando, John Lisu wawashukuru Watanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/--TvQ2CZQjhI/UxioLPq0eLI/AAAAAAACbvY/3zadZbp0wEg/s72-c/4e32e93322c5fee4ca3cb0918c164582.jpeg)
John Lisu .
WAKATI zoezi la upigaji kura wa kuchagua maeneo matatu ya kufanikisha Tamasha la Pasaka linalotarajia kufanyika kuanzia Aprili 20 mwaka huu, waimbaji mahiri wa muziki wa injili hapa Tanzania, Rose Mhando na John Lisu wameonesha shukrani kwa wapiga kura kwa kuwapigia kura nyingi kuelekea tamasha hilo.
Waimbaji hao wanaoonesha kukubalika na wadau mbalimbali kushiriki katika tamasha hilo kutokana na sababu mbalimbali za uwasilishaji wao wa Neno la Mungu kwa wadau wa tamasha hilo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Askofu Kameta abariki uzinduzi wa John Lisu
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Kanda ya Mashariki, Lawrance Kameta amebariki uzinduzi wa mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu wa albamu ya ‘Uko Hapa’...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yWZhO6eJxBU/VDK7I2t8NtI/AAAAAAABKbY/RL7osJr_-ZQ/s72-c/2.jpg)
uzinduzi wa album John Lisu wafana sana Diamond jubilee hall
![](http://2.bp.blogspot.com/-yWZhO6eJxBU/VDK7I2t8NtI/AAAAAAABKbY/RL7osJr_-ZQ/s1600/2.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-D4tJWYe28GS7FDXqNQqiIz42Pif3y7bi9H2sA5iJva1tCCypMXf5kdObQIkp-5eDMZBlKs2*sLkcdSd6UoEWPz/rose.jpg)
ROSE MUHANDO MGONJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-d0OUy67UJkQxk*EAKpbyyQ05TptxP6dPBeEzBSIrLdiSx8Yy6oOYxaPPqPRzv54-Y5ZUwabBZAgvgK5ClpyFO/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO MBARONI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0bLZe5X0aAduH2flM7GU2ZYCeWYYI42wLeKwvevOYtkbitj0as1iyA5XtSe9pBfceLfCw06M7--6X6EzL74TcB/Rose20.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AWEWESEKA
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Sekeleti kumbeba Rose Muhando
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa injili, Ephraim Sekeleti, atatumbuiza katika uzinduzi wa albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’ ya Rose Muhando utakaofanyika Agosti 3, Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu4-6BttgPxw0YLIrusXviYjTSU7ymQCHT7S0K9Wz3yzrtfNekRyvPRfBXDdoZXCyHRtGcdF5DjINXfO1NQeAjqE/rose.jpg)
ROSE MUHANDO AFIKISHWA POLISI
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rose Muhando aibuka na ‘Facebook’
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando, ameibuka na wimbo mpya uitwao ‘Facebook’. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema ana imani wimbo huo utakuwa kivutio kikubwa kwa jamii,...