RPC KILIMANJARO NA RIO KILIMANJARO WAKIANGALIA GARI LILILOTUMIWA NA HAYATI JULIUS KAMBARAGE NYERERE KUTAFUTA UHURU WA TANGANYIKA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salum Hamduni, akiangalia mandhari ya ndani ya gari lililotumiwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere wakati wa harakati za kutafuta Uhuru wa Tanganyika, gari hilo limepaki Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi, mkoani Kilimanjaro.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salum Hamduni, akimuonyesha Mkuu wa Uhamiaji, Mkoa wa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE - BIOGRAPHY
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kP9-yViUa9w/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s72-c/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s1600/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
6th Annual Julius Kambarage Nyerere Commemoration Capital Heights, Maryland
Wasanii Luci Marphy Mmarekani (kushoto) na Anna Mwalagho kuoka Kenya wakiimba wimbo wa Taifa.
![IMG_9036](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_9036.jpg)
10 years ago
Michuzi03 Nov
6TH ANNUAL JULIUS KAMBARAGE NYERERE COMMEMORATION CAPITOL HEGHTS, MARYLAND
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
MODEWJIBLOG na Kumbukumbu ya miaka 16 ya tangu kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). leo hii ni miaka 16 tangu atangulie mbele za haki huku taifa na vizazi vyake vikiendelea kumkumbuka na kuenzi utashi na uongozi wake ulitukuka katika taifa hili la Tanzania.
Mtandao wa Modewjiblog unaungana na Watanzania wote popote pale walipo katika kuombeleza kumbukumbu hii ya Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere. Pia tunatumia...
10 years ago
CloudsFM16 Oct
Mapokezi ya Victoria Kimani na Waje Jana Uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport
Msanii kutoka Kenya ,Victoria Kimani (Kulia) aliwasili jana majira ya saa moja jioni katika uwanja wa Julius Kambarage Nyerere International Airport.
Msanii mwingine wa kimataifa atakayetoa burudani ndani ya Serengeti Fiesta Dar 2014 ni WAJE kutoka Nigeria aliwasili Dar jana tayari kukinukisha pande za Leaders Club katika Serengeti Fiesta Dar Jumamosi hii.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aU0q8cv1pdI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Nini hasa ni kivutio katika mji aliozaliwa hayati Mwl. Julius K Nyerere?
Butiama ni mji uliopo kaskazini mwa Tanzania, katika wilaya ya Musoma mkoa wa Mara. Mahala hapa ndipo alipozaliwa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(Baba wa Taifa), ambapo leo ni siku ya kukumbuku ya kifo chake (13 April 1922-14 Octoba 1999)
Kijiji hiki kina historia Kubwa ambapo leo imekuwa siku muhimu ya kukumbuka mahala alipozaliwa shujaa wa Tanzania aliyepelekea uhuru na umoja wa nchi yetu.
Ndani ya kijiji cha Butiama kuna vingi...