Rukwa kuwadhibiti Wakongo kujikinga na ebola
MKUU wa Mkoa wa Rukwa , Stella Manyanya ameamuru pawepo udhibiti wa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaoingia usiku mkoani humo kupitia Ziwa Tanganyika ikiwa ni sehemu ya kujihadhari na ugonjwa wa ebola.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Wanahabari Rukwa watakiwa kuwa makini kujikinga na Corona ili kuendelea kuihabarisha jamii

Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (waliokaa katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya ebola
Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na kirusi kiitwacho ebola. Kirusi hicho ni moja kati ya familia ya virusi watatu toka katika familia ya filoviridiae.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Wakongo waichongeaTicts kwa Dk Mwakyembe
Wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wamemlilia Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe awasaidie kutatua vikwazo wanavyokumbana navyo ili kurahisisha biashara zao.
10 years ago
Michuzi
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONGOZA SIKU YA SHERIA MKOANI RUKWA

11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...
10 years ago
Vijimambo
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA SIKU YA SHERIA NCHINI MKOANI RUKWA

11 years ago
Mwananchi23 Aug
Wakongo walichagiza waimbaji, wapigaji kucheza jukwani
Kwa utaratibu muziki wa dansi hupigwa na bendi iliyo kamili kwa vyombo na wanamuziki.Bendi hizo kwa kawaida hujumuisha waimbaji, wapiga ala mbalimbali za muziki.
11 years ago
Mwananchi19 Oct
JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA
Rais Jakaya Kikwete jana amewatunukia cheo cha Luteni Usu, Maofisa 23 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), huku wenzao 414 wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), waliohitimu nao mafunzo hayo wakisubiri kutunukiwa vyeo vyao watakaporejea nchini mwao.
10 years ago
Michuzi
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AKABIDHI KATIBA PENDEKEZWA KWA WILAYA ZOTE MKOANI RUKWA LEO


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
09-May-2025 in Tanzania