Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakongo walichagiza waimbaji, wapigaji kucheza jukwani

Kwa utaratibu muziki wa dansi hupigwa na bendi iliyo kamili kwa vyombo na wanamuziki.Bendi hizo kwa kawaida hujumuisha waimbaji, wapiga ala mbalimbali za muziki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji

Pg 1>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba

>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani

>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco

Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam

RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.

Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...

 

9 years ago

Raia Mwema

Misingi ya urais si kusakata rumba au pushups jukwani

KWANZA naomba radhi wasomaji wangu kutokana na kuchelewa kuendeleza makala yangu “Hawana jipya, C

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

11 years ago

GPL

MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI‏

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…

 

10 years ago

Mwananchi

Wakongo waichongeaTicts kwa Dk Mwakyembe

Wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wamemlilia Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe awasaidie kutatua vikwazo wanavyokumbana navyo ili kurahisisha biashara zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...

 

10 years ago

Habarileo

Rukwa kuwadhibiti Wakongo kujikinga na ebola

MKUU wa Mkoa wa Rukwa , Stella Manyanya ameamuru pawepo udhibiti wa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaoingia usiku mkoani humo kupitia Ziwa Tanganyika ikiwa ni sehemu ya kujihadhari na ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA

Rais Jakaya Kikwete jana amewatunukia cheo cha Luteni Usu, Maofisa 23 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), huku wenzao 414 wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), waliohitimu nao mafunzo hayo wakisubiri kutunukiwa vyeo vyao watakaporejea nchini mwao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete ahitimisha mafunzo ya wakongo na atunuku kamisheni kwa watanzania 23

DSC_1017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hizo Mkoani Arusha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa Kitanzania 23 miongoni mwa maafisa 437 wa kundi la 53/13 – Kongo. Kundi hilo liliwajumuisha maafisa wa kitanzania wapatao 23 na wahitimu 414 kutoka Kongo.

Jumla ya wanajeshi 414 kutoka Jamuhuri ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani