Wakongo walichagiza waimbaji, wapigaji kucheza jukwani
Kwa utaratibu muziki wa dansi hupigwa na bendi iliyo kamili kwa vyombo na wanamuziki.Bendi hizo kwa kawaida hujumuisha waimbaji, wapiga ala mbalimbali za muziki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji
>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba
>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani
>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco
Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.
Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Misingi ya urais si kusakata rumba au pushups jukwani
KWANZA naomba radhi wasomaji wangu kutokana na kuchelewa kuendeleza makala yangu “Hawana jipya, C
Mwandishi Wetu
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Wakongo waichongeaTicts kwa Dk Mwakyembe
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Rukwa kuwadhibiti Wakongo kujikinga na ebola
MKUU wa Mkoa wa Rukwa , Stella Manyanya ameamuru pawepo udhibiti wa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaoingia usiku mkoani humo kupitia Ziwa Tanganyika ikiwa ni sehemu ya kujihadhari na ugonjwa wa ebola.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Rais Kikwete ahitimisha mafunzo ya wakongo na atunuku kamisheni kwa watanzania 23
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hizo Mkoani Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa Kitanzania 23 miongoni mwa maafisa 437 wa kundi la 53/13 – Kongo. Kundi hilo liliwajumuisha maafisa wa kitanzania wapatao 23 na wahitimu 414 kutoka Kongo.
Jumla ya wanajeshi 414 kutoka Jamuhuri ya...