Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakongo waichongeaTicts kwa Dk Mwakyembe

Wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wamemlilia Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe awasaidie kutatua vikwazo wanavyokumbana navyo ili kurahisisha biashara zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete ahitimisha mafunzo ya wakongo na atunuku kamisheni kwa watanzania 23

DSC_1017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hizo Mkoani Arusha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa Kitanzania 23 miongoni mwa maafisa 437 wa kundi la 53/13 – Kongo. Kundi hilo liliwajumuisha maafisa wa kitanzania wapatao 23 na wahitimu 414 kutoka Kongo.

Jumla ya wanajeshi 414 kutoka Jamuhuri ya...

 

10 years ago

Habarileo

Rukwa kuwadhibiti Wakongo kujikinga na ebola

MKUU wa Mkoa wa Rukwa , Stella Manyanya ameamuru pawepo udhibiti wa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaoingia usiku mkoani humo kupitia Ziwa Tanganyika ikiwa ni sehemu ya kujihadhari na ugonjwa wa ebola.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakongo walichagiza waimbaji, wapigaji kucheza jukwani

Kwa utaratibu muziki wa dansi hupigwa na bendi iliyo kamili kwa vyombo na wanamuziki.Bendi hizo kwa kawaida hujumuisha waimbaji, wapiga ala mbalimbali za muziki.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja

Mbili (1)

Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.

Moja 1

Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege  ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa  Bunge ya Miundombinu,  Peter Serukamba.

nne

Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ACHAGULIWI KWA KURA ZA MAONI WALA KWA MITANDAO YA KIJAMII - MWAKYEMBE

Na Lilian Lundo, MAELEZO, DODOMA
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe (pichani) amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana  na uteuzi utakaoidhinishwa na  Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi,  Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye huwasilisha jina hilo kwa Spika wa Bunge na baadaye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu hachaguliwi kwa kura za maoni wala kwa mitandao ya kijamii – Mwakyembe

Harrison-Mwakyembe1-620x308

Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe.

Na Lilian Lundo, MAELEZO-DODOMA

Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania  atatokana  na uteuzi utakaoidhinishwa na  Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.

Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi,  Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA

Rais Jakaya Kikwete jana amewatunukia cheo cha Luteni Usu, Maofisa 23 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), huku wenzao 414 wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), waliohitimu nao mafunzo hayo wakisubiri kutunukiwa vyeo vyao watakaporejea nchini mwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe

>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani