Sababu za asali kuwa salama ijapo inatoka kwenye mazingira hatari
Katika tathmini ya haraka ya wadudu ambao wanaweza wakaeneza maradhi mbalimbali ukiacha nzi, nyuki anaweza kuwa mmojawapo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi02 Apr
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Elimu bora inahitaji mazingira salama
MAENDELEO ya taifa hupimwa kwa ubora wa elimu na taasisi zilizo chini yake, msingi imara wa elimu ni chachu ya mafanikio hasa kwa vijana.
Inapozungumziwa elimu bora si utoaji wa vitabu na madawati pekee katika shule, bali hata mazingira ya kusomea huongeza mafanikio ya elimu na kukuza maarifa.
Kwa kutambua hamasa hiyo ya mazingira mazuri ya kujifunzia kampuni ya AAR Health Care inayotoa huduma ya afya nchini imeandaa utaratibu wa kuhakikisha mazingira yanakuwa mazuri kuanzia katika...
10 years ago
Bongo Movies01 May
Aunt Ezekiel: Naomba Mungu Nijifungue Salama, Sababu Watu….
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ambaye hivi sasa ni mjamzito ameeleza kuwa kila saa na kila siku anamuomba Mungu amjaalie ajifungue salama maana maneno ya watu yamekuwa yakimtisha.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa hivi karibuni nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar, Aunt alisema kuna watu ambao wamekuwa wakimuombea mabaya kutokana na chuki zao lakini yeye anaamini Mungu ndiye kila kitu kwake.
“Wapo watu ambao wanaisengenya mimba yangu, wananisema vibaya, wananiombea mabaya kiasi cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s72-c/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
WAJAWAZITO WAKIJIFUNGUA KATIKA MAZINGIRA SALAMA VIFO VYAO VITAPUNGUA - SALMA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_dV7OI8sLG8/VBACXx_aADI/AAAAAAAGiWw/QndcRmM9E4U/s1600/Mama-Salma-Kikwete.jpg)
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Mama Salma Kikwete wakati akiongea na viongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) iliyopo Keko Jijini Dar es Salaam.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitembelea makao makuu ya MSD kwa ajili ya kuangalia vifaa tiba ikiwa ni pamoja na vifaa vya...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/NAU-intercepted-e14210641649161.jpg?resize=437%2C291)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/e0f03fc0c8d24937bb68dc8898002994.jpg?resize=437%2C301)
5 years ago
CCM Blog31 May
MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE
![Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zake](https://media.parstoday.com/image/4bv93bd9a04d931nvue_800C450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Somalia:Wakazi wahisi kuwa salama