Somalia:Wakazi wahisi kuwa salama
Wakazi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, wanahisi kuwa salama na wenye matumaini kuliko hali ilivyo kuwa mwaka 1 uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7vsn40RkQCQ/XuX3N1viJOI/AAAAAAALtxY/kE9iuapf1gkHnHzunrLcqCl8r2Yu2_3XQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.42.01%2BPM.jpeg)
WAKAZI WA KIGOMA WAITIKIA WITO KUTOA DAMU SALAMA KWA HIYARI
Na Editha Karlo-Michuzi TV
MENEJA wa mradi wa damu salama mkoa Kigoma, Habichi Maramba amesema kuwa kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi wa mkoa Kigoma kujitokeza kutoa damu kwa hiari jambo ambalo linaondoa changamoto ya ukosefu wa damu mkoani humo.
Maramba alisema hayo wakati wa maadhimisho ya wiki ya damu salama mkoani Kigoma na kueleza kuwa jambo hilo linaenda sambamba na uundwaji wa vikundi vya wachangia damu mkoani humo ambavyo vimesaidia kupatikana kwa damu ya kutosha.
Meneja huyo...
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Sababu za asali kuwa salama ijapo inatoka kwenye mazingira hatari
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s72-c/008.jpg)
ZANZIBAR INAHITAJI KUENDELEA KUWA SALAMA NA TULIVU-BALOZI SEIF ALI IDDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s1600/008.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--n61JqiFtc0/VS_WEo931mI/AAAAAAAHRkI/tLbTmOuSwNo/s1600/984.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia
9 years ago
Bongo531 Dec
Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu
![Wakazi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wakazi-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.
Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.
“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.
“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...
11 years ago
Habarileo18 May
RC ataka wakazi wa Dar kuwa wasafi
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amewataka wakazi wa mkoa wake kuwajibika kusafisha mazingira yanayowazunguka na kuachana na tabia ya kuzilaumu Halmashauri za Manispaa.
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Suleiman Yusuf Koore: Bawabu aliyefanikiwa kuwa waziri katika ofisi aliyolinda Somalia
9 years ago
StarTV30 Oct
Wakazi wa Iringa watakiwa kuwa watulivu na kulinda amani
Wakazi wa mkoani Iringa wametakiwa kuwa watulivu kwa kupunguza ushabiki wa kisiasa ili kuepusha vurugu zisizo na msingi na kuufanya mkoa huo kuwa sehemu salama ya kuishi.
Hatua hiyo inatokana na uwepo wa watuhumiwa 50 waliokamatwa kwa madai ya kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi.
Ni kutokana na mvutano uliopo baina ya makundi mawili ya kisiasa juu ya ushindi wa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa- Bi- Amanina...
9 years ago
StarTV07 Sep
Wakazi Geita Mjini wawataka wagombea kuwa wakweli
Wakazi wa Jimbo la Geita Mjini wamewataka wagombea ubunge kuwa na ahadi za kweli ili kuwasaidia kupata mahitaji ya kijamii ambayo wawakilishi waliopita hawakuweza kuyatatua.
Matatizo yanayowakabili ni ukosefu wa maji salama, ajira, umeme wa uhakika na huduma za afya wakidai kuwa kiongozi atakayepata nafasi ya kuwawakilisha wananchi kwa miaka mitano na kushindwa kuzitatua kero zao watahakikisha anaishia miaka mitano na kuchagua mwingine.
Wakazi wa Geita Mjini wamesema umefika muda sasa wa...