Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salamu za Mchungaji Ernest Kadiva

 Ni nadra kukutana na mjumbe wa Bunge la Katiba kutoka Kamati Namba 7, Mchungaji Ernest Kadiva akiwa na wenzake, lakini mjumbe huyu ni mahiri kuwajulia hali ndugu zake hasa wanaoishi Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Baraza la Vyama vya Siasa nchini latuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mchungaji Mtikila

 Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Peter Kuga Mzirai (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam alipokuwa akitoa salamu za rambirambi na kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichokuwa kifanyike tarehe 06 na 07 Oktoba, 2015 katika Hoteli Bwawani Zanzibar  hadi tarehe nyingine itakapotangazwa tena kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa taifa wa Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea...

 

10 years ago

Vijimambo

IGP ERNEST MANGU NINGENG’ATUKA

Kwako Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu.Ni matumaini yangu kwamba hunifahamu na sitegemei kama kuna mazingira yanayoweza kunikutanisha nawe ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako.Mimi si mtoto wa Mzee Jumbe Mangu na mama Mwanaidi Msengi kama wewe. Sikuzaliwa mwaka 1959 kwenye Kijiji cha Kihunadi, Tarafa ya Ilongero mkoani Singida wala sikusoma Shule ya Sekondari ya Tumaini kama wewe! Mimi ni raia wa kawaida tu, mlala hoi.Nakuhakikishia kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Habarileo

Ernest Mangu ndiye IGP mpya

Ernest ManguRais Jakaya Kikwete jana, amemteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.

 

9 years ago

Bongo Movies

Hatuwezi Kuzuia Uharamia wa Kazi za Wasanii- Ernest

MSHINDI wa tuzo ya East Afrika kupitia filamu yake ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon, ameweka wazi kwamba haiwezekani kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hatuna sheria ya kufanya hivyo.

Napoleon alisema kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa Tanzania itaendelea kuleta vilio kwa wasanii wake hadi mifumo itakaporekebishwa na sheria zikatungwa.

“Huo ndio ukweli wala tusidanganyane, hatuwezi kuzuia uharamia wa kazi za wasanii kwa kuwa hakuna sheria za kuzuia uharamia huo hivyo kila mtu...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Chill na Sky – With Ernest Napoleon (Going Bongo)

10575965_514928895331026_2072635263_n

Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

IGP ERNEST MANGU NINGENG’ATUKA

Kwako Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu.
Ni matumaini yangu kwamba hunifahamu na sitegemei kama kuna mazingira yanayoweza kunikutanisha nawe ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako.
Mimi si mtoto wa Mzee Jumbe Mangu na mama Mwanaidi Msengi kama wewe. Sikuzaliwa mwaka 1959 kwenye Kijiji cha Kihunadi, Tarafa ya Ilongero mkoani Singida wala sikusoma Shule ya Sekondari ya Tumaini...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo 3 Usiyoyajua kuhusu Ernest wa Going Bongo

11820519_180167015648391_1962079100_n

Haya ni mambo matatu Usiyoyajua kuhusu Ernest Napoleon wa filamu ya Going Bongo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani