Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saliboko ataka shauri lake liahirishwe kusikilizwa

MKURUGENZI Mtendaji wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko, ameliomba Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuahirisha kusikiliza shauri lake, kwa kuwa anakabiliwa na kesi inayofanana na shauri hilo ya jinai katika Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JAJI KIONGOZO ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO

Na Magreth Kinabo- Mahakama
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi, amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili  ya kuweza kupunguza msongamano  wa mahabusu,  na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.

Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum.

“Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...

 

5 years ago

CCM Blog

JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO


Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...

 

10 years ago

Mtanzania

Sugu ataka jimbo lake lisigawanywe

Joseph-Mbilinyi-SuguNa Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema), ameitaka Serikali kumhakikishia kwamba hawataligawa jimbo lake kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kugawa moyo wake.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbilinyi maarufu kama Sugu
alisema haoni sababu ya kugawa jimbo lake kwa kuwa hata wakati
anagombea alijua kwamba jimbo hilo ni kubwa.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,
Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama alisema matakwa ya kuligawa...

 

10 years ago

TheCitizen

Court throws out Saliboko’s prayer

>Kisutu Resident Magistrate’s Court has thrown away an application by a defence counsel to stop hearing a corruption case against Registration, Insolvency and Trusteeship Agency (Rita) chief executive officer Phillip Saliboko.

 

10 years ago

Daily News

Ethics council stays Saliboko's litigation


Ethics council stays Saliboko's litigation
Daily News
THE Public Leadership Ethics Council yesterday stayed the proceedings initiated against the former Director General with Registration Insolvency and Trusteeship Agency (RITA), Mr Philip Saliboko, who is accused of violating public code of conducts.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe

DSC01807

Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).

DSC01778

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu  Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu  kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa  haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba liahirishwe, twende kwenye kura ya maoni

Bunge Maalumu la Katiba linatarajiwa kuanza mnamo Agosti 5 mwaka huu, likiendeleza mjadala wa siku 70 wa rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mpina: Bunge liahirishwe, fedha zikalipie deni MSD

MBUNGE wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), ametaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini hapa, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa zikalipie deni la zaidi ya sh bilioni 90 inalodaiwa Serikali na Bohari Kuu...

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani