Saliboko ataka shauri lake liahirishwe kusikilizwa
MKURUGENZI Mtendaji wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko, ameliomba Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuahirisha kusikiliza shauri lake, kwa kuwa anakabiliwa na kesi inayofanana na shauri hilo ya jinai katika Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
JAJI KIONGOZO ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi, amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili ya kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum.
“Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
10 years ago
Mtanzania29 May
Sugu ataka jimbo lake lisigawanywe
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema), ameitaka Serikali kumhakikishia kwamba hawataligawa jimbo lake kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kugawa moyo wake.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbilinyi maarufu kama Sugu
alisema haoni sababu ya kugawa jimbo lake kwa kuwa hata wakati
anagombea alijua kwamba jimbo hilo ni kubwa.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,
Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama alisema matakwa ya kuligawa...
10 years ago
TheCitizen01 Jul
Court throws out Saliboko’s prayer
10 years ago
Daily News01 Aug
Ethics council stays Saliboko's litigation
Daily News
THE Public Leadership Ethics Council yesterday stayed the proceedings initiated against the former Director General with Registration Insolvency and Trusteeship Agency (RITA), Mr Philip Saliboko, who is accused of violating public code of conducts.
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Bunge la Katiba liahirishwe, twende kwenye kura ya maoni
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mpina: Bunge liahirishwe, fedha zikalipie deni MSD
MBUNGE wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), ametaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini hapa, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa zikalipie deni la zaidi ya sh bilioni 90 inalodaiwa Serikali na Bohari Kuu...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CFTs_opzCeQ/default.jpg)