JAJI KIONGOZO ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Na Magreth Kinabo- Mahakama
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi, amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili ya kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum.
“Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TLIAKqIh76w/XoH-DNlg-JI/AAAAAAALlmI/N6wrPwBif1sb2XwzFMMELxsh9Q1sV7C8gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
10 years ago
GPLKESI YA JINAI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Kesi ya Ponda kusikilizwa leo
10 years ago
Mtanzania18 May
Kesi ya Wakenya kusikilizwa Arusha
Na Mtua Salira, EANA
KESI ya mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha inayowakabili raia wa Kenya waliotiwa mbaroni nchini Msumbiji na kuhamishiwa Tanzania miaka tisa iliyopita, itasikilizwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) Arusha Mei, 21, 2015.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mahakama hiyo mjini hapa jana, ilisema kesi hiyo ijulikanayo kama Onyango na wenzake tisa, wanadaiwa kutenda makosa hayo mjini Moshi na itasikilizwa kwa siku moja.
Wakenya hao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ewGePZYcc7M/U-tqT6sdbiI/AAAAAAAF_N4/XR2UMtSC15c/s72-c/1.jpg)
Kesi ya epa kusikilizwa Agosti 25 na 29, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-ewGePZYcc7M/U-tqT6sdbiI/AAAAAAAF_N4/XR2UMtSC15c/s1600/1.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Aug
Kesi ya Maranda yakwama kusikilizwa Muhimbili
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilishindwa kuhamia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kusikiliza utetezi wa kada wa CCM Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mawakili wakwamisha kesi ya Ponda kusikilizwa
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kesi wizi IPTL kusikilizwa Februari
10 years ago
Vijimambo04 Jul
KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU
Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7.
Daniel Yona, Agrey Mgonja wakisubiria hatima ya kesi yao inayowakabili katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Ndugu na jamaa waliofika mahakamani hapo kusikiliza hukumu hiyo.
Mramba na wenzake wakijadili kabla ya hukumu yao ambayo imeahirishwa tena
Kesi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali ya...