Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sam Allardyce kuifunza Sunderland

Klabu ya Sunderland nchini Uingereza imemteua Sam Allardyce kama mkufunzi wa timu hiyo kwa kipindi cha miaka miwili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Sam Allardyce awa kocha mpya wa Sunderland

Klabu ya Sunderland nchini Uingereza imemteua Sam Allardyce kuwa kocha mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa kipindi cha miaka miwili. Aliyekuwa kocha Dick Advocaate alijiuzulu kuifundisha klabu hiyo na kuiacha ikiwa haijashinda mechi yoyote kati ya mechi nane ilizocheza. Timu hiyo ipo katika nafasi ya pili kutoka mwisho wa jedwali la ligi ya Uingereza. […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Nitaondoka tu West Ham:Sam Allardyce

Kocha wa timu ya soka ya West Ham United ya England Sam Allardyce amefichua mpango wake wa kuondoka klabuni hapo hata kama timu hiyo itampa mkataba mpya.

 

10 years ago

BBC

Allardyce: Sakho injury 'mistreated'

West Ham manager Sam Allardyce claims the injury to Diafra Sakho during the international break with Senegal was "badly mistreated".

 

11 years ago

BBC

Allardyce confirms Gyan interest

West Ham boss Sam Allardyce is making enquiries about signing ex-Sunderland striker Asamoah Gyan in January.

 

10 years ago

BBC

Allardyce advised not to play Sakho

West Ham boss Sam Allardyce says he has been advised not to play Diafra Sakho until a row with Senegal is resolved.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyefutwa na Tottenham kuifunza Villa

Tim Sherwood ameteuliwa kama meneja mpya wa kilabu ya Aston Villa baada ya kuweka sahihi ya kandarasi ya hadi mwaka 2018.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viera aorodheshwa kuifunza Newcastle

Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal na Manchester City Patrick Vierra ameorodheshwa miongoni mwa watu wanne wanaotarajiwa kuchukua ukufunzi wa kilabu ya Newcastle nchini Uingereza.

 

10 years ago

Mtanzania

Michuano ya Kagame kuifunza Yanga

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema atatumia michuano ya Kombe la Kagame kujifunza mbinu za kukisaidia kikosi chake katika michuano ya kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika na siyo usajili.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kufanyika hapa jijini Dar es Salaam Julai mwaka huu, kwa kushirikisha mabingwa wa klabu ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa nchini Ghana kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani