Viera aorodheshwa kuifunza Newcastle
Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal na Manchester City Patrick Vierra ameorodheshwa miongoni mwa watu wanne wanaotarajiwa kuchukua ukufunzi wa kilabu ya Newcastle nchini Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Viera awania umeneja Newcastle United
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Sunderland kumrudia Viera?
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Viera kocha mpya wa New York City
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJGcOwaHYSc/XswRF87VdoI/AAAAAAALrfU/e54MWPIS90AX6KJT9z-o-q765zMf_GrIwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200524085347_1153918174_5704606628706549347_375_282_80_webp.jpg)
CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...
10 years ago
Mtanzania19 May
Michuano ya Kagame kuifunza Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema atatumia michuano ya Kombe la Kagame kujifunza mbinu za kukisaidia kikosi chake katika michuano ya kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika na siyo usajili.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kufanyika hapa jijini Dar es Salaam Julai mwaka huu, kwa kushirikisha mabingwa wa klabu ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa nchini Ghana kwa...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Anelka kuifunza kilabu ya Mumbai
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Aliyefutwa na Tottenham kuifunza Villa
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Sam Allardyce kuifunza Sunderland