Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viera aorodheshwa kuifunza Newcastle

Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal na Manchester City Patrick Vierra ameorodheshwa miongoni mwa watu wanne wanaotarajiwa kuchukua ukufunzi wa kilabu ya Newcastle nchini Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Viera awania umeneja Newcastle United

Timu ya Newcastle iko katika harakati za kupata kocha wake kukiimarisha kikosi chake kwa michuano ijayo ya ligi kuu

 

9 years ago

BBCSwahili

Sunderland kumrudia Viera?

Kilabu ya Sunderland nchini Uingereza inayokumbwa na utata kwa sasa inadaiwa kutaka kumrudia Patrick Viera iwapo Dick Advocaat atajiuzulu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Viera kocha mpya wa New York City

Kiungo wa zamani wa timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini

Patrick Viera anaungwa mkono na wachezaji wengi wa kilabu ya Manchester City kumrithi Manuel Pellegrini iwapo atafutwa kazi

 

5 years ago

Michuzi

CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...

 

10 years ago

Mtanzania

Michuano ya Kagame kuifunza Yanga

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema atatumia michuano ya Kombe la Kagame kujifunza mbinu za kukisaidia kikosi chake katika michuano ya kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika na siyo usajili.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kufanyika hapa jijini Dar es Salaam Julai mwaka huu, kwa kushirikisha mabingwa wa klabu ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa nchini Ghana kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Anelka kuifunza kilabu ya Mumbai

Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyefutwa na Tottenham kuifunza Villa

Tim Sherwood ameteuliwa kama meneja mpya wa kilabu ya Aston Villa baada ya kuweka sahihi ya kandarasi ya hadi mwaka 2018.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sam Allardyce kuifunza Sunderland

Klabu ya Sunderland nchini Uingereza imemteua Sam Allardyce kama mkufunzi wa timu hiyo kwa kipindi cha miaka miwili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani