Sunderland kumrudia Viera?
Kilabu ya Sunderland nchini Uingereza inayokumbwa na utata kwa sasa inadaiwa kutaka kumrudia Patrick Viera iwapo Dick Advocaat atajiuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Viera aorodheshwa kuifunza Newcastle
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Viera kocha mpya wa New York City
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Viera awania umeneja Newcastle United
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJGcOwaHYSc/XswRF87VdoI/AAAAAAALrfU/e54MWPIS90AX6KJT9z-o-q765zMf_GrIwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200524085347_1153918174_5704606628706549347_375_282_80_webp.jpg)
CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Yamoto kumrudia Godfather
Yamoto Band.
ANDREW CARLOS
Baada ya kutikisa na Video ya Cheza kwa Madoido,bendi inayotikisa Bongo,Yamoto inatarajia kurudi tena kwa mtayarishaji aliyewaandalia video hiyo, Mike Ogoke ‘Godfather’ kwa ajili ya video yao nyingine itakayotambulika kama Elea.
Meneja wa kundi hilo, Said Fella alisema licha ya hilo, pia kwa mara ya kwanza mashabiki wataisikia nyimbo hiyo Desemba 19, mwaka huu ndani ya Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
“Cha msingi ni kusogea Dar Live Desemba 19, kushuhudia...
9 years ago
Bongo Movies25 Nov
Wolper: Ni wakati wa kumrudia Mungu
STAA mkali wa filamu ambaye hivi karibuni alipumzika kwa muda sanaa hiyo, Jacqueline Wolper, amesema baada ya kufanya mambo mengi maovu, huu ni wakati wa kumrudia Mungu, hata kwa kusoma vitabu vyake vitakatifu.
Akizungumza na gazeti hili juzikati, Wolper alisema mara nyingi mastaa hujisahau kwa kuendekeza anasa nyingi za duniani na kumkosea Mungu, hivyo ni bora kuamua hata kwa saa mbili kwa siku kusoma neno lake.
“Kwa kweli mara nyingi sisi tumejisahau sana kujipendekeza kwa Mungu, badala...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanasiasa wakumbushwa kumrudia Mungu