Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta kinara wa kufumania nyavu Afrika

Sasa ni dhahiri kwamba Mtanzania anayechezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mbwana Ally Samatta anakaribia kutwaa kiatu cha dhahabu kwa ufungaji bora katika ligi ya Mabingwa Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Shelder; mtaalamu wa kufumania nyavu

Mashindano ya Airtel Rising Stars 2014 yamemalizika kwa timu ya wasichana Mkoa wa kisoka wa Temeke, kutwaa ubingwa wa mashindano hayo baada ya kuifunga Timu ya Kinondoni kwa mikwaju ya penalti 4-3.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini kinara-kriketi

Timu ya kriket ya Afrika Kusini, imeendelea kufanya vizuri katika michuano ya kombe la dunia la kriketi kwa kuichapa Sri Lanka.

 

9 years ago

Mwananchi

Ni Samatta Afrika nzima

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameandika histori ya kuwa Mtanzania wa kwanza kuwa mfungaji bora Afrika, baada kuisaidia TP Mazembe na kuichapa USM Algers kwa mabao 2-0 na kutwaa ubingwa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya tano.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta atwaa taji Afrika

MTANZANIA Mbwana Samatta jana aliisaidia timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutwaa taji lake la tano la Ligi ya Mabingwa wa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya USM Alger ya Algeria, katika mchezo wa pili wa fainali wa mashindano hayo.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta Inshallah tuzo za Afrika

MACHO na masikio ya wadau wa soka nchini leo yataelekezwa Abuja, Nigeria inapofanyika hafla ya kukabidhi tuzo za wanasoka bora wa Afrika kwa mwaka 2015.

 

9 years ago

Mtanzania

TFF kumsindikiza Samatta tuzo za Afrika

tffNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa, anatarajia kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta, kuelekea kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barani Afrika nchini Nigeria.

Samatta ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, anawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani.

Taarifa...

 

10 years ago

Mtanzania

Samatta anukia ufungaji bora Afrika

samataNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MTANZANIA Mbwana Samatta, anayekipiga katika timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, amebakisha mabao mawili tu kuweza kutwaa kiatu cha ufungaji bora wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.

Mpaka sasa timu yake ikiwa imeingia fainali ya michuano hiyo, Samatta anashika nafasi ya pili kwenye chati ya ufungaji bora akiwa na mabao sita, sawa na Mouhcine Iajour wa timu ya Moghreb Tetouan ya Morocco iliyotolewa, anazidiwa bao moja tu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Samatta, Toure kuwania tuzo ya mwaka Afrika

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na TP Mazembe, Mbwana Samatta ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika inayotolewana Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

 

10 years ago

Mtanzania

Mbwana Samatta aipeleka Mazembe fainali Afrika

samattaNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MABAO mawili yaliyopachikwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, yalichangia ushindi wa 3-0 na kuipeleka Klabu ya TP Mazembe kwenye fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

TP Mazembe ikicheza kwenye uwanja wake wa nyumbani jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliifunga El Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali iliyochezwa jana.

Katika mchezo wa kwanza uliochezwa jijini Khartoum, TP Mazembe ililala 2-1 huku bao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani