Samatta, Msuva waingia vitani
Wanasoka walio kwenye chati ya soka nchini hivi sasa, Mbwana Samatta na Simon Msuva ni miongoni mwa wachezaji wanaopewa nafasi kubwa kutwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka nchini iliyoandaliwa na mtandao wa kimataifa wa Goal.com.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j0pX6*YBwlxNDcMoVVLUknLr0rQsi6DF1xG6Foi5HpJfxxF9JW2T2U1fqwhnfraL4*EIwE4eLQZ2JNqTTZqLnY3/Tambwe.jpg)
Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga
9 years ago
TheCitizen23 Nov
Msuva: Professionalism comes naturally
9 years ago
Habarileo25 Oct
Msuva matumaini kibao
MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Yanga wamchanganya Msuva
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2685162/highRes/991420/-/maxw/600/-/ga0tf2/-/msuva+picha.jpg)
Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani.
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Msuva hakamatiki 2015
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Plujim amvulia kofia Msuva
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Plujim, amekiri Ligi Kuu ya Vodacom iliyoisha ilikuwa ngumu huku akidai kuwa mchezaji bora wa timu yake kwa muda aliokuwepo Jangwani ni mshambuliaji chipukizi, Simon...
10 years ago
BBCSwahili10 May
Simon Msuva arejea Tanzania
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Tambwe amtia presha Msuva
10 years ago
TheCitizen30 Apr
Msuva a weak link: Mayanga