Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta, Msuva waingia vitani

Wanasoka walio kwenye chati ya soka nchini hivi sasa, Mbwana Samatta na Simon Msuva ni miongoni mwa wachezaji wanaopewa nafasi kubwa kutwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka nchini iliyoandaliwa na mtandao wa kimataifa wa Goal.com.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe, Mliberia waingia vitani Yanga

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mliberia, Kpah Sherman, Na Wilbert Molandi
WASHAMBULIAJI wapya wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe na Mliberia, Kpah Sherman, wameanza kuonyeshana mavituzi katika mazoezi ya timu hiyo. Nyota hao wote walijiunga na kikosi hicho hivi karibuni katika usajili wa dirisha dogo, Tambwe yeye alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Sherman miaka miwili. Katika mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Msuva: Professionalism comes naturally

Dar es Salaam Young Africans ace striker Simon Msuva has said that he will not rush to turn professional, instead, he will do so when the time comes.

 

9 years ago

Habarileo

Msuva matumaini kibao

MFUNGAJI bora wa msimu uliopita wa ligi kuu bara, Simon Msuva amesema kuanzia benchi katika mechi tatu zilizopita hakumtii hofu ya kupoteza nafasi yake ya kuitumikia Yanga.

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga wamchanganya Msuva


Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani. 
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Msuva hakamatiki 2015

Dar es Salaam. Ni nani kama Msuva? Jina hilo, Simon Happygod Msuva si geni katika medani ya michezo nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Plujim amvulia kofia Msuva

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Plujim, amekiri Ligi Kuu ya Vodacom iliyoisha ilikuwa ngumu huku akidai kuwa mchezaji bora wa timu yake kwa muda aliokuwepo Jangwani ni mshambuliaji chipukizi, Simon...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simon Msuva arejea Tanzania

Simon Msuva amerejea nchini Tanzania akitokea nchini Afrika ya Kusini alipokwenda kufanya majaribio ya soka la kulipwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe amtia presha Msuva

Dar es Salaam. Ni dhahiri sasa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amemkaba kooni kiasi cha kumtia presha mwenzake, Simon Msuva katika vita ya kuwania tuzo ya ufungaji bora msimu huu.

 

10 years ago

TheCitizen

Msuva a weak link: Mayanga

Young Africans forward Simon Msuva is currently in form of his life, but has not yet impressed Taifa Stars assistant coach Salum Mayanga for a national team starting role.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani