Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia anasubiriwa kufanya haya

Historia imeandikwa. Samia Suluhu Hassan ndiye mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita.

Ripoti iliyonifikia nikutokea Mkoa wa Geita, Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliwasili Geita jioni ya leo na akakutana na uongozi wa mkoa wa Geita, Inshu ni wananchi wanufaike na mgodi wao wa dhahabu Geita Geita Gold Mine.…kutana na sentensi zake; Makamu wa rais Mama Samia ‘Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye […]

The post Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Vifo vya wajawazito vimemgusa Mama Samia, ana haya mawili kwa wataalamu…

Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, headlines zake zinaendelea kunifikia mtu wangu, naomba ukutane na maneno yake najua utatoka na kitu…leo ni kuhusu wakina mama wajawazito kupoteza maisha wakati wa kujifungua. ‘Tanzania tumepiga hatua kubwa kwenye malengo ya Millenia lakini tumeshindwa kwenye vifo vya wakina mama wajawazito, tumepiga hatua kubwa kwa watoto […]

The post Vifo vya wajawazito vimemgusa Mama Samia, ana haya mawili kwa wataalamu… appeared first on...

 

10 years ago

GPL

ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA

Uhali gani mpendwa msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Karibu tena kwenye uwanja wetu huu tujadiliane na kuelekezana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Sote tunaelewa kwamba hakuna kipindi kigumu katika uhusiano wa kimapenzi kama pale mwenzi wako anaponasa ujauzito. Wanawake wengi huwa na mabadiliko makubwa ya tabia, hali inayowafanya wanaume...

 

10 years ago

GPL

ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA-2

Ni wiki nyingine tunapokutana tena kwenye ukurasa wetu huu mzuri, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada ya nini cha kufanya ili kumsaidia mwenzi wako anapokuwa na ujauzito. Nakushukuru wewe msomaji wangu ambaye ulishiriki kutuma ujumbe wako na kutoa ushauri kwa msomaji Jackson wa Morogoro ambaye alikuwa akilalamika jinsi mkewe alivyobadilika tabia baada...

 

10 years ago

Mwananchi

Bendi imara zinawezekana kwa kufanya haya-Zahoro

Wanamuziki wengi wa muziki wa dansi wana sifa kubwa ya kuhama bendi moja kwenda nyingine na kuwa kama sehemu ya maisha au utamaduni wao hivyo kusababisha bendi nyingi kukosa uimara.

 

9 years ago

Bongo5

Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake

Dogo Janja hawezi kutoboa masikio au kujichora tattoo kama wasanii wengi wanavyofanya – lasivyo hatoweza kukanyaga kwao! Rapper huyo wa Arusha amesema akithubutu kufanya hivyo atakuwa ameikosea sana familia yake. “Baba yangu na mama yangu wakati naingia kwenye muziki waliniambia fanya muziki lakini usije ukatoboa masikio, usije ukachora tattoo,” alikiambia kipindi cha Siz Kitaa cha […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAMIA HASSAN: Mwanamama aliyedhamiria kufanya kazi kwa umakini Bunge la Katiba

LEO namzungumzia Samia Suluhu Hassan, Waziri wa  Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano. Samia pia amechaguliwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Tanzania tunapiga hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani