Bendi imara zinawezekana kwa kufanya haya-Zahoro
Wanamuziki wengi wa muziki wa dansi wana sifa kubwa ya kuhama bendi moja kwenda nyingine na kuwa kama sehemu ya maisha au utamaduni wao hivyo kusababisha bendi nyingi kukosa uimara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Majimbo haya mkoani Mara ni ngome imara ya upinzani
Jimbo la Musoma Vijijini
Jimbo hili linapatikana katika W ilaya ya Musoma Vijijini, mahala alipozaliwa, kukua, kucheza na kusoma, mwasisi wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA-2
Ni wiki nyingine tunapokutana tena kwenye ukurasa wetu huu mzuri, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada ya nini cha kufanya ili kumsaidia mwenzi wako anapokuwa na ujauzito. Nakushukuru wewe msomaji wangu ambaye ulishiriki kutuma ujumbe wako na kutoa ushauri kwa msomaji Jackson wa Morogoro ambaye alikuwa akilalamika jinsi mkewe alivyobadilika tabia baada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA
Uhali gani mpendwa msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Karibu tena kwenye uwanja wetu huu tujadiliane na kuelekezana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Sote tunaelewa kwamba hakuna kipindi kigumu katika uhusiano wa kimapenzi kama pale mwenzi wako anaponasa ujauzito. Wanawake wengi huwa na mabadiliko makubwa ya tabia, hali inayowafanya wanaume...
9 years ago
Bongo524 Oct
Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake
Dogo Janja hawezi kutoboa masikio au kujichora tattoo kama wasanii wengi wanavyofanya – lasivyo hatoweza kukanyaga kwao! Rapper huyo wa Arusha amesema akithubutu kufanya hivyo atakuwa ameikosea sana familia yake. “Baba yangu na mama yangu wakati naingia kwenye muziki waliniambia fanya muziki lakini usije ukatoboa masikio, usije ukachora tattoo,” alikiambia kipindi cha Siz Kitaa cha […]
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s72-c/unnamed.jpg)
Mashujaa bendi kufanya ziara mikoani
![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s1600/unnamed.jpg)
BENDI ya muziki wa dansi nchini Mashujaa, inatarajia kufanya ziara katika mikoa ya nchini nzima kwa ajili ya kutoa shukrani kwa mashabiki wao waliowapigia kura kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Awards.
Akizungumza Dar es Salaam...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Samia anasubiriwa kufanya haya
Historia imeandikwa. Samia Suluhu Hassan ndiye mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/MG_1128.jpg)
BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE
Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania