Sanaa si filamu na muziki pekee
Tafsiri ya sanaa kwa mujibu wa wanazuoni ni ufundi unaotumika na mwanadamu katika kuwasilisha mawazo au fikra zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
MAONI: Soko la sanaa haliko jukwaani pekee
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wInLbhW3YZA/U_HAnFFd4SI/AAAAAAAGAX0/oxEebDelF6w/s72-c/Mshale%2Bwa%2BKifo.jpg)
ASHA BUI MWANAMKE PEKEE KUCHEZA FILAMU MSITUNI
Msanii huyo amedai alifanya hivyo kufuatia maoni ya wapenzi wa filamu ambao kila siku wanalalamika kwa kusema kuwa filamu zetu nyingi zimekuwa za mijini tu, huku baadhi ya matukio yakirudiwa kila katika sinema hizo jambo ambalo limekuwa likiongelewa mara kwa mara.
“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia...
10 years ago
Bongo516 Oct
Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/92.jpg)
UKITAKA RAHA NA BURUDANI YA MUZIKI MZURI BASI NI SKYLIGHT BAND PEKEE LEO NDANI YA THAI VILLAGE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s72-c/1.jpg)
UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMUGA JK,WAMTANGAZA KUWA SHUJAA WA SANAA YA MUZIKI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s640/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Umoja wa wasanii wa fani mbalimbali wamuaga JK, wamtangaza kuwa shujaa wa sanaa ya muziki nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s640/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.
Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.
Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.
“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Rachel: Sio JB pekee, Hizi ni baadhi ya Filamu za Marehemu Kanumba na Ray walizokopi Stori Mpaka Majina
Mcheza filamu za kibongo ambae pia ni muigiazaji wa michezo ya kuigiza kupitia kituo cha televisheni cha Chanel Ten, Rachel Silvestar amesma anashangazwa na baadhi ya watu kumchukulia vibaya muogizaji mkongwe JB baada ya kuonekana amekopi filamu ya kihindi na kuiita mzee wa swaga wakati hicho kitendo ni cha kawaida kwenye sanaa duniani na JB sio mtu wa kwanza kukupi filamu za nje
Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina...
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Unaambiwa hiviii, ukitaka raha na burudani ya muziki mzuri basi ni Skylight Band pekee leo ndani ya Thai Village
Majembe ya kazi wakiwajibika jukwaaani ili kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village Kutoka kushoto ni Joniko Flower akifuatiwa na Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo. Mwambie yule na yule na wale tukutane pale kati kwa uchakavu wa Tshs 5,000 tu getini.
Skylight Band Divas wakishirikiana kwa pamoja kutoa vocal tamuuuuuuu ndani ya kiota cha maraha Thai Village. Wa kwanza kushoto ni Mary Luvcos, Digna Mbepera...