Sarakasi za mgomo
Dar es Salaam. Mgomo wa madereva uliotanda nchi nzima na kudumu kwa zaidi ya saa 30 ulisitishwa jana mchana ukiwa umegubikwa na matukio mengi, ikiwa ni pamoja na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na polisi kurushiwa mawe, kufyatuliwa kwa mabomu ya machozi, na mvutano wa kisiasa baina ya viongozi wa Serikali na Chadema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Sarakasi mpya ya Escrow
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Sarakasi za ujangili nazifananisha na EPA!
“SERIKALI ina mkono mrefu sana, hatupendi mtu aache mke na watoto wake afungwe miaka 50. Kama ni majina tutayabandika, nimeshakubali, tutayabandika, ni kwamba tu sina hiyo orodha hapa”. Hii ni kauli...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
11 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi wa Malawi wageuka 'Sarakasi'
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Sarakasi hizi za Bukoba zimalizwe
MGOGORO wa uongozi katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba baina ya madiwani na aliyekuwa Mstahiki Meya, Dk. Anatory Amani, umefumka upya baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kagera,...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Kukamatwa vijana JKT sarakasi tupu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi nchini na uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), wametofautiana kauli kuhusu aliko Mwenyekiti wa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba (28), anayedaiwa kutoroshwa na polisi hospitalini hapo alikokuwa amelazwa.
Mgoba anadaiwa kutoroshwa na polisi baada ya Muhimbili kumruhusu ambapo hadi sasa hajulikani alipo.
Wakati Muhimbili wakisema mgonjwa huyo aliruhusiwa jana saa sita mchana, Jeshi la Polisi...
10 years ago
Bongo521 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao kwa kuruka sarakasi
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Unachohitaji kukifanya ili kufanikiwa katika sarakasi za kupindisha mwili