Seif: Nikishindwa kwa haki nitampongeza mshindi
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema matarajio yake makubwa kwamba Uchaguzi Mkuu utakuwa huru na haki na yeye atakuwa wa kwanza kumpongeza atakayeshinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s72-c/4-3.jpg)
“Tume ya Haki za Binadamu Ina Jukumu Kubwa la Kulinda Haki za Wanawake na Watotoâ€-BALOZI SEIF
![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s640/4-3.jpg)
kinachohusu masuala ya haki za binadamu na utawala bora kutoka kwa Mwenyekiti na
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mhina,
Walipomtembelea Ofisini kwake leo Juni 3, 2020 Vuga Mjini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-2.jpg)
Mwenyekiti na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu
Mathew Mhina, akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti, wa Tume ya Haki za Biadamu
na Utawala Bora, Mohamedi Khamis Hamadi, wakati wa ziara yake...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s72-c/790.jpg)
UCHAGUZI UFANYIKE KWA MISINGI YA HAKI NA USAWA- BALOZI SEIF
![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s640/790.jpg)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba kauli za baadhi ya wanasiasa wakati wanapokuwa majukwaani za kupalilia cheche za kutaka kuibua vurugu zisiwashitue Wananchi kwa vile Serikali itaendelea kuwa makini...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Lowassa: Nikishindwa urais nakwenda kuchunga ng’ombe
10 years ago
Mtanzania04 May
January: Nikishindwa urais CCM narudi jimboni
Na Mwandishi Wetu, Lushoto
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amesema kuwa akishindwa katika mchakato wa kura za maoni za kusaka urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), atarudi jimboni kuendelea kuwatumikia wapiga kura wake.
Kutokana na hali hiyo January ambaye ni Mbunge wa Bumbuli, amewataka wananchi wake kuwapuuza watu wanaopita na kudai kuwa wanataka ubunge kwa kuwa yeye anatajwa katika kinyang’anyoro cha urais ndani ya CCM.
Kauli hiyo aliitoa juzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MnPgAYV8p90/VISBpLMlglI/AAAAAAAG1wo/WQS_Rhi2Dmc/s72-c/unnamed%2B(94).jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KWA MAHESABU BORA NCHINI KWA ZAIDI YA MAKAMPUNI
![](http://1.bp.blogspot.com/-MnPgAYV8p90/VISBpLMlglI/AAAAAAAG1wo/WQS_Rhi2Dmc/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Chadema : Lowassa mshindi kwa asilimia 61
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s72-c/mkisi1.jpg)
MKISI AIBUKA MSHINDI KWA MARA YA NYINGINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s640/mkisi1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--QECxuKgKpo/VdNGtYlckTI/AAAAAAABfRs/RYy57Ew1AN0/s640/mkisi.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5KFN9W5o_aE/default.jpg)