Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Nikishindwa urais nakwenda kuchunga ng’ombe

Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesema akishindwa kupata ridhaa ya wananchi kuwa rais wa awamu ya tano ataenda kijijini kwake kuchunga ng’ombe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

January: Nikishindwa urais CCM narudi jimboni

makambaNa Mwandishi Wetu, Lushoto
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amesema kuwa akishindwa katika mchakato wa kura za maoni za kusaka urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), atarudi jimboni kuendelea kuwatumikia wapiga kura wake.
Kutokana na hali hiyo January ambaye ni Mbunge wa Bumbuli, amewataka wananchi wake kuwapuuza watu wanaopita na kudai kuwa wanataka ubunge kwa kuwa yeye anatajwa katika kinyang’anyoro cha urais ndani ya CCM.
Kauli hiyo aliitoa juzi...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe

EdwardLowassaNa John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano na mgombea urais wa jumuia DMV, Liberatus Mwang'ombe

Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Liberatus Mwang'ombe. Mgombea uRais wa Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia Uchaguzi unategemewa kufanyika Agosti 9, 2014

 

11 years ago

Dewji Blog

Mgombea urais wa DMV Ndg. Liberatus Mwang’ombe alivyotembelea hospitali Tanzania

Liberatus believes “CHARITY STARTS AT HOME”

Katika muendelezo wa kusaidia nyumbani kama imani yangu ya kimsingi; ninaamini kuwa, “binadamu tulizaliwa tushirikiane na tusaidiane kutatua matatizo na sio kutengana wala kushindana.”

1061

Mgombea wa Uraisi wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bw. Liberatus Mwago’mbe wakwanza (kusoto) akiwa na Dr. Kingslaw (katikati) na Nurse kabla ya lecture katika hospitali ya Muhimbili

Kwenye safari yangu ya Tanzania 2011 na 2013 nilipata fursa ya kutembelea hospital za...

 

10 years ago

Habarileo

Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Nakwenda kumuongezea nguvu Pluijm- Mwambusi

Kocha Juma Mwambusi amefunguka kubainisha kwamba anakwenda Yanga kusaidiana na Hans Pluijm huku akimpandisha ‘cheo’ aliyekuwa msaidizi wake, Abdul Mingange kuwa ana sifa za kuwa kocha mkuu wa Mbeya City.

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Nakwenda kumleta mrithi wa Msuva

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. Mohammed Mdose,Dar es Salaam
KUFUATIA mkataba wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva kubakia mwaka mmoja huku akionyesha hana nia ya kutaka kuendelea kukaa kwenye klabu hiyo, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amesema hatapenda kuona uongozi wa Yanga ukimlazimisha kiungo huyo kusaini mkataba mpya. Pluijm amesema kama mchezaji huyo atataka kuondoka, haoni haja ya...

 

9 years ago

Habarileo

Seif: Nikishindwa kwa haki nitampongeza mshindi

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema matarajio yake makubwa kwamba Uchaguzi Mkuu utakuwa huru na haki na yeye atakuwa wa kwanza kumpongeza atakayeshinda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani