Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sera za Malinzi zilivyokuwa na ushawishi…

Kwa mwezi mmoja na wiki moja nimekuwa nikielezea yale aliyoniambia Jamal Malinzi, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zilivyokuwa siku tisa za sakata la Escrow

Watanzania kila kona walikuwa wakifuatilia mwenendo wa Bunge, licha ya kukatika kwa umeme kutokana na hitilafu zilizokuwa zikijitokeza.

 

10 years ago

Mwananchi

USHAWISHI: Lowassa amponza profesa wa Udom

>Profesa wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Peter Kopoka amebanwa na uongozi wa chuo hicho kutokana na kushiriki maandamano ya kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumshawishi achukue fomu ya kugombea urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama cha AK chapoteza ushawishi Uturuki

uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AK kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya ushawishi CHF yaanza Singida

SAMSUNG CSC

Timu ya wataalamu kutoka NHIF mkoa wa Singida na ofisi ya DMO wilayani Singida, wakiendesha zoezi la upimaji wa afya kwa wananchi wa kata ya Msange wilayani Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO  wa taifa  wa bima ya afya (NHIF)Mkoa wa Singida, umeanzisha kampeni ya utoaji elimu juu ya umuhimu wa kujiunga  na mfuko huo, na ule wa afya ya jamii (CHF),ili wananchi waweze kujijengea mazingira  ya kupata matibabu hata wakati hana fedha.

Katika kampeni hiyo wananchi watapata nafasi ya...

 

10 years ago

StarTV

Chama cha AKP chapoteza ushawishi Uturuki


Kura zikihesabiwa Uturuki

Huku kura nyingi zikiwa zishahesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AKP kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.

Matokeo yanaonyesha chama hicho kimeshinda kwa asilimia arobaini na mbili ya kura, huku kikiwa na upungufu wa viti kumi na nne kuweza kuunda serikali.

Huku kile kinachoungwa mkono na wakurd cha HDP kikivuka asilimia kumi kwa kupata viti takriban themanini hivyo kuweza kuingia bungeni kwa mara ya kwanza.

Iwapo itathibitishwa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wapoteza ushawishi wa maadili kwa watoto

HIVI sasa wazazi wengi hawana mwamko wa kuzungumza na watoto wao kuhusu maadili. Mamlaka hayo ya lazima kwao wameziachia televisheni na mitandao ya kijamii ambayo imekuwa mwalimu wa vijana kujifunza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani

Jarida la Forbes limetoa orodha ya watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani, huku Rais wa Marekani Barack Obama akiondolewa kutoka nafasi ya pili.

 

10 years ago

Africanjam.Com

ORODHA YA WATU 50 WENYE USHAWISHI ZAIDI LIGI YA UINGEREZA


Jarida la Sportsmail kuamkia jana wametaja majina ya watu 50 wenye ushawishi zaidi katika ligi kuu ya Uingereza EPL, cheki orodha yenyewe hapa chini.50 Steven Gerrard, 49 Peter Ridsdale, 48 Didier Drogba, 47 Karren Brady, 46 Philip Don, 45 Sol Campbell, 44 Gary Lineker, 43 Carlos Tevez, 

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani