Sera za Malinzi zilivyokuwa na ushawishi…
Kwa mwezi mmoja na wiki moja nimekuwa nikielezea yale aliyoniambia Jamal Malinzi, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Zilivyokuwa siku tisa za sakata la Escrow
11 years ago
GPL10 Mar
10 years ago
Mwananchi28 Mar
USHAWISHI: Lowassa amponza profesa wa Udom
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Chama cha AK chapoteza ushawishi Uturuki
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Kampeni ya ushawishi CHF yaanza Singida
Timu ya wataalamu kutoka NHIF mkoa wa Singida na ofisi ya DMO wilayani Singida, wakiendesha zoezi la upimaji wa afya kwa wananchi wa kata ya Msange wilayani Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
MFUKO wa taifa wa bima ya afya (NHIF)Mkoa wa Singida, umeanzisha kampeni ya utoaji elimu juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo, na ule wa afya ya jamii (CHF),ili wananchi waweze kujijengea mazingira ya kupata matibabu hata wakati hana fedha.
Katika kampeni hiyo wananchi watapata nafasi ya...
10 years ago
StarTV08 Jun
Chama cha AKP chapoteza ushawishi Uturuki

Kura zikihesabiwa Uturuki
Huku kura nyingi zikiwa zishahesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AKP kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.
Matokeo yanaonyesha chama hicho kimeshinda kwa asilimia arobaini na mbili ya kura, huku kikiwa na upungufu wa viti kumi na nne kuweza kuunda serikali.
Huku kile kinachoungwa mkono na wakurd cha HDP kikivuka asilimia kumi kwa kupata viti takriban themanini hivyo kuweza kuingia bungeni kwa mara ya kwanza.
Iwapo itathibitishwa,...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Wazazi wapoteza ushawishi wa maadili kwa watoto
HIVI sasa wazazi wengi hawana mwamko wa kuzungumza na watoto wao kuhusu maadili. Mamlaka hayo ya lazima kwao wameziachia televisheni na mitandao ya kijamii ambayo imekuwa mwalimu wa vijana kujifunza...
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani
10 years ago
Africanjam.Com
ORODHA YA WATU 50 WENYE USHAWISHI ZAIDI LIGI YA UINGEREZA

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday...