Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serena akacha Indian Wells

HESABU za waaandaaji wa michuano ya tenisi ya Indian Wells BNP Paribas Open kuona nyota namba moja kwa wanawake, Serena Williams, anashiriki kipute cha mwaka huu zimeyeyuka. Serena ambaye mara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Andy Murray ashindwa Indiana Wells

Murray alishindwa kwa seti tatu kwa moja na Milos Raonic ambaye ameorodheshwa kama mchezaji wa kumi bora katika mashindano hayo

 

10 years ago

Wells Journal

Wells bakery assistant aims to raise £800


Wells Journal
Wells bakery assistant aims to raise £800
Wells Journal
A BAKERY assistant is hoping to sell as many cakes as possible to help fund charity work in Tanzania. Katy Legg, who works at Parsons in Wells, is planning a ten week trip to the country volunteering with Raleigh International Citizen Service (ICS).

 

5 years ago

The New York Times

The Price of Wells Fargo’s Fake Account Scandal Grows by $3 Billion

The Price of Wells Fargo’s Fake Account Scandal Grows by $3 Billion  The New York TimesWells Fargo reaches $3bn fake accounts settlement  BBC NewsWells Fargo To Pay $3 Billion In Settlement For Fake Accounts Scandal | NBC Nightly News  NBC NewsWells Fargo Pays $3 Billion, Avoids Prosecution Over Abuses  BloombergWells Fargo to pay $3B settlement  NewsyView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CHADEMA akacha

MGOMBEA nafasi ya Uenyekiti Taifa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Kansa Mbarouk, amedaiwa kuwakwepa viongozi wa chama hicho wanaotaka kumpa barua ya wito kufika kusikiliza ufafanuzi wa pingamizi lake...

 

11 years ago

GPL

DINO AKACHA UIGIZAJI

Na Gladness Mallya
MKALI wa sinema za Kibongo, Denis Swea ‘Dino’ ameamua kuachana na uigizaji akidai haulipi. Denis Swea ‘Dino’. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni jijini Dar, Dino alisema badala ya kuigiza ameamua kurekodi vipindi ambavyo atavirusha katika televisheni kwani angalau inalipa kuliko sinema. “Nimeona bora kuweka pembeni uigizaji na nimeelekeza nguvu zangu zote katika suala...

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi akacha kambi Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi ameanza vituko Yanga baada ya kuondoka kikosini na kushindwa kuambatana na wenzake walioingia kambini jana Bagamoyo, Pwani.

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI AKACHA KUIGIZA

MREMBO asiye na majivuno kunako anga la filamu Bongo, Esha Buheti amenawa mikono kwenye ulingo wa filamu kutokana na kuchoshwa na malipo kiduchu anayoyapata kwenye tasnia hiyo na kugeukia kwenye mambo ya ujasiriamali. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hzjtor

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond akacha shoo ya zari

hhjNasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

MUSA MATEJA

Habari ya mjini! Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amezua utata kwa mashabiki wake baada ya kukacha kuzama kwenye pati iliyokuwa imeandaliwa na mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Guvnor jijini Kampala, Uganda ambapo wawili hao walikwenda pamoja kwa lengo la kushirikiana kwenye makamuzi ya shoo ya pati hiyo iliyokwenda kwa jina la Zari All White Ciroc Party.

12298790_913147808763757_2141814560_n

Wageni...

 

11 years ago

GPL

LULU AKACHA MSIBA WA KUAMBIANA, AJITETEA

Stori: Musa Mateja
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedaiwa kuukacha msiba wa aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana na kujitetea kuwa alibanwa na majukumu.
Alipobanwa na mwanahabari wetu kuhusu kutohudhuria msiba huo uliodumu kwa takriban siku nne, Lulu alijitetea kuwa alikuwa Mwanza kikazi. Elizabeth Michael ‘Lulu’. “Nimebanwa na kazi, nipo Mwanza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani