SERIKALI HAIJAWATELEKEZA WATANZANIA WANAOSOMA UKRAINE
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Mkumbwa Ally akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zilizochukuliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi katika kuhakikisha Wanafunzi kutoka Tanzania wanaondoka katika Jimbo lenye machafuko la Lugansk huko Ukraine. Mwingine katika picha ni Bw. Ally Kondo, Afisa Habari.
Sehemu ya Waandishi kutoka Vyombo mbalimbali vya habari vya hapa nchini
Mkutano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi23 Aug
MKUTANO KATI YA WIZARA NA WANAFUNZI WANAOSOMA MASHARIKI MWA UKRAINE HUSUSANI ENEO LA LUGANSK
Mkutano huo utafanyika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, siku ya Jumatano, tarehe 3...
10 years ago
Habarileo22 May
Watanzania wanaosoma Kenya wafukuzwa
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika shule za msingi nchini Kenya, wameripotiwa kufukuzwa nchini humo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TGmwm-59maQ/Uu0oc5wUA_I/AAAAAAAFKIQ/-lAB0xXlVNM/s72-c/unnamed+(67).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-TGmwm-59maQ/Uu0oc5wUA_I/AAAAAAAFKIQ/-lAB0xXlVNM/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dhBare4jg88/VEMRIGhp3OI/AAAAAAAGrz8/92Yqi3PLTcY/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dhBare4jg88/VEMRIGhp3OI/AAAAAAAGrz8/92Yqi3PLTcY/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Hoja ya serikali ya mseto Ukraine
10 years ago
BBCSwahili20 Sep
Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Serikali yadhibiti miji miwili Ukraine