SERIKALI KUKARABATI SHULE YA UFUNDI MWADUI KUPITIA MRADI WA EP4R
![](https://1.bp.blogspot.com/-otcpyjby0b4/XmeuJsUqp8I/AAAAAAALieI/nr8sKIDngektyg7qDXj5-YEOjSQ1V01wgCLcBGAsYHQ/s72-c/2b4dd265-3b3b-4509-a529-900f88586f39.jpg)
SERIKALI imesema imepanga kukarabati Shule ya Sekondari ya Ufundi ya Mwadui kupitia mradi wa lipa kulingana na matokeo (EP4R).
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Gerald Mweli wakati alipofanya ziara ya kutembelea shule hiyo na kubaini uchakavu wa miundombinu.
Mweli amesema uchakavu wa miundombinu ndio haswa unaochangia kushindwa kufanya vizuri kwa shule hiyo ambayo awali ilikua ikisifika kwa ubora wa elimu.
Amesema elimu ya ufundi ni muhimu sana kwa watoto haswa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/130.jpg)
AIRTEL KUPITIA MRADI WA TUNAKUJALI WAENDELEA KUSAIDIA SHULE HAPA NCHINI
9 years ago
StarTV29 Nov
Watoto 9,000 wenye umri zaidi ya miaka 11 warejeshwa shule kupitia Mradi Wa Tasaf
Wanawake wa Wilaya ya Chato wameamua kubadilika baada ya kuwezeshwa na Mradi wa TASAF kwa kuwarudisha watoto 9,000 wenye zaidi ya miaka 11 katika shule sitini ambao walikuwa hawasomi na wengine kuacha shule kutokana na umbali na kukosa uwezo wa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya shule.
Pamoja na kuwaanzisha shule sitiri bado baadhi ya wanawake wamekuwa wakinyang’anywa fedha wanazopatiwa na waume zao na kuwafanya baadhi yao kushindwa kutimiza lengo la kuhakikisha watoto wanasoma na kupelekwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s72-c/001.KINYEREZI.jpg)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s640/001.KINYEREZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CZJ_E29v_Sw/Vat24fOSuVI/AAAAAAAHqfs/3_PpPUr9jVg/s640/002.KINYEREZI.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbDhwa2eghfKLapbElRaSuAelF4kexA17QMPA4nOPLr10Mb4xsmfvbk20yoQghPFqV-3y16oQAr2Li6rkKvKcP2/001.KINYEREZI.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
11 years ago
Habarileo12 Dec
Bil.1/- kukarabati shule Z’bar
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Zanzibar imesema imetenga jumla ya Sh bilioni moja kwa ajili ya kufanyia ukarabati majengo ya shule ambayo yamechakaa na yapo katika hatari ya kuanguka.
10 years ago
Habarileo04 Dec
PSPF yachangia mabati kukarabati shule Masasi
MFUKO wa Pensheni wa PSPF umetoa msaada wa mabati 100 yenye thamani ya Sh milioni 2 kwa Shule ya Sekondari Lukuledi wilayani Masasi, kwa ajili ya kuboresha miundombinu iliyo chakavu shuleni hapo.
9 years ago
Habarileo31 Aug
Lowassa kuongeza ajira kupitia JKT, vyuo vya ufundi
MGOMBEA Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kuwa endapo atafanikiwa kuwa Rais atahakikisha vituo vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vinakuwa vyuo vya ufundi Stadi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I2_N3OiFvqU/XutFCHjJR-I/AAAAAAALuaU/IfUMSiRM9DghUgZKND1yveXhK_bLNuuwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B12.21.19%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AIPONGEZA TAASISI YA DK MSUYA FOUNDATION KWA KUKARABATI SAMANI ZA SHULE YA SEKONDARI IBIHWA
Charles James, Michuzi TV
UZALENDO! Ndio kauli ambayo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameitumia kuipongeza Taasisi ya Dk Msuya Foundation kwa kuwezesha kusaidia ukarabati samani za Shule ya Sekondari Ibihwa iliyopo wilayani Bahi, Dodoma.
Waziri Jafo ameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa na Dk Ombeni Msuya kwa moyo wao wa kizalendo uliowezesha ukarabati huo wa Viti 76 na Meza 45 kwenye shule hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua elimu nchini.
Akizungumza...
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...