Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali tatu homa yapanda Z’anzibar

WAKATI viongozi wakuu wa serikali wakiwa katika mchakato wa kuteua wabunge 201 wa Bunge la Katiba, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharibi, Yussuf Mohamed Yussuf, amesema mfumo wa serikali tatu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Homa ya Ngao ya Jamii yapanda

HOMA ya pambano la ngao ya jamii zimezidi kupanda baada ya Yanga na Azam kurejea Dar es Salaam tayari kwa mechi hiyo itakayochezwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya jipanga Kudhibiti Homa ya Bonde la Ufa

19_s

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi Dkt.Yohana Budeba.

Na Anitha Jonas –MAELEZO

Serikali yaanda mkakati wa  kuzuia Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) nchini kutokana na kuwepo na viashiria vya kuwepo na ungojwa huo katika kipindi hichi cha mvua za Eli-nino kama ilivyoripotiwa na Mlaka ya hali ya hewa.

Ugongwa wa Homa ya Bonde la Ufa ni hatari sana na kwani katika kipindi cha 2006/2007 ulipotokea ulisambaa kwa kasi na kuathiri vijiji 175  kati ya wilaya 11 katika ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.

SIMBA V YANGA 8Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika  kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu

SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...

 

11 years ago

Habarileo

‘Ni serikali tatu’

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akipokea rasimu ya Katiba Mpya kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Mpigapicha wetu).MUUNDO wa serikali tatu umeendelea kuwa ndani ya Rasimu ya Katiba iliyokabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na ambacho Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema ndiyo itakuwa suluhu ya malalamiko juu ya kero za Muungano.

 

11 years ago

Habarileo

‘Tujaribu serikali tatu’

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana, ameshauri Watanzania kujaribu mapendekezo ya Rasimu ya Pili ya Katiba, ya mfumo wa Muungano wa serikali tatu bila hofu na kukabili changamoto zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK apinga serikali tatu

RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga serikali tatu

KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba: Serikali tatu si mzigo

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani