Serikali yaibeba CCM kwa mwenge
LICHA ya mikusanyiko yote ya kisiasa na kidini kuzuiliwa kwa muda katika mikoa ya Lindi na Mtwara, kutokana na hali ya usalama kuwa tete kufuatia vurugu za gesi, serikali imeruhusu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Ofisa biashara atuhumiwa kwa kuikashifu Serikali, Mwenge
Polisi wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wanamshikilia Ofisa Biashara wa Halmashauri ya Msalala, Cosmas Makune kwa tuhuma za kujihusisha na siasa, kuikashifu Serikali na kutoa lugha chafu dhidi ya Mwenge wa Uhuru.
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
MichuziPONGEZI KWA DKT. ALI MOHAMED SHEIN KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM KWA NAFASI YA RAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
CCM TAWI LA CHINA TUNATOA PONGEZI KWA MWENYEKITI WA CCM TAIFA, WAJUMBE WA KAMATI YA MAADILI NA USALAMA, KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA, HALMASHAURI KUU YA TAIFA NA MKUTANO MKUU WA TAIFA KWA KUTUPATIA MGOMBEA MWADILIFU, MAKINI, MZALENDO WA KWELI NA MPENDA MAENDELEO AMBAYE ATAPEPERUSHA BENDERA YA CHAMA CHETU KWA NAFASI YA URAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2015, TUNATARAJIA KUPATA USHINDI WA KISHINDO. HONGERA SANA DKT. ALI MOHAMED SHEIN.WEMBE...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Kwa hali hii nauona mwisho wa Serikali ya CCM
Viongozi wa Serikali huongoza watu katika mambo ya kimwili lakini wa kiroho huongoza katika mambo ya kimwili na kiroho.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali ya Umoja Kitaifa yageuka shubiri kwa CCM
Wakati homa ya uchaguzi mkuu ikipamba moto, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekerwa na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kuvunja makubaliano kwa kutoa kauli zinazotofautiana na Serikali kwenye majukwaa.
10 years ago
Mwananchi09 Jan
CCM yalaani vurugu kuapishwa kwa viongozi Serikali za mitaa
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimelaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya Mwanza, Dar es Salaam na Mbeya.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
NSSF yaibeba Yanga
Wachezaji wa Yanga wameipiga bao Simba baada ya kupata dili la nyumba kutoka Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF.
9 years ago
MichuziCCM YAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KASI ILIYOANZA NAYO
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM),Ndugu Abdulrahman O.Kinana(Pichani) akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kuipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais,Dkt.John Pombe Magufuli,Makamu wa Rais,Mhe.Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu,Mhe.Kassim Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akifafanua zaidi jambo mbele ya waandishi wa habari leo...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
CCM ilifufuka kwa mikutano ya hadhara inayokatwaza na serikali yake sasa!
JAMBO moja nililolisikia likirudiwa katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wiki iliyopi
Njonjo Mfaume
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania