SERIKALI YAITAKA KAMPUNI YA STEPS KUSITISHA USHUSHWAJI WA BEI ZA FILAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ZeauSGgC9o/VKUAdPjg5uI/AAAAAAAG6zo/KroIKLYkpmw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-01%2Bat%2B11.06.54%2BAM.png)
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imepokea malalamiko kutoka kwa wasambazaji wa filamu kuhusu ushushwaji wa bei za filamu uliotangazwa na Kampuni ya Steps Entertainment.
Wizara imeyashughulikia malalamiko hayo na kuona kuwa bei iliyotangazwa na Kampuni ya Steps Entertainment si halisi na itasababisha tasnia ya filamu kudharauliwa na pia haina tija katika tasnia ya filamu.
Wizara inaiagiza kampuni ya Steps Entertainment kusitisha kuanza kuuza filamu hizo kwa bei ya Tshs. 1000...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Serikali yatakiwa kusitisha uporomokaji wa bei za Filamu Nchini - Wadau
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Na Genofeva Matemu – Maelezo
Serikali imewapongeza wasambazaji na wadau wa filamu nchini kwa mchango wao mkubwa katika kuelimisha,...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...
10 years ago
MichuziWAJUMBE BODI YA FILAMU WATEMBELEA MIUNDOMBINU YA KAMPUNI YA UTENGENEZAJI FILAMU YA PROIN
9 years ago
Bongo512 Nov
Steps wadai filamu za nje zinaua soko la movie za kibongo
![11796346_858648140856198_5910047054412595256_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11796346_858648140856198_5910047054412595256_n-300x194.jpg)
Kampuni ya usambazaji wa filamu nchini, Steps Entertainment imesema kuongeza kwa filamu za nje nchini kumeharibu soko la filamu za wasanii wa ndani.
Akizungumza na Bongo5 jana, meneja wa makoso wa Steps, Kambarage Ignatus alisema uwezo wa Steps umeshuka kutoka kwenye kusambaza filamu 14 kwa mwezi hadi filamu 6 mpaka 8.
“Filamu za nje zimeharibu soko, sisi tunauza filamu shilingi 4000-5000, filamu za nje zinauzwa shilingi 700-1000. Sisi wateja wetu wengi ni third class halafu ni wanawake na...
10 years ago
Bongo521 Jan
Dude asema anakubaliana na Steps kuuza filamu moja Tsh 1,500