Serikali yasaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa daraja la Salenda
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na wajumbe kutoka Benki ya Exim ya Korea baada ya kusaini hati ya mkataba wa makubaliano ya mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 91.032 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 154.39 za Kitanzania zilizotolewa na Benki ya Exim ya Korea kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Salenda jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Dec
Serikali yasaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara Arusha.
![uj1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj1.jpg)
Mkurugenzi wa barabara Wizara ya Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Ven Ndiyakumana kushoto akisaini mkataba wa awali kuhusu mkopo wa fedha wa riba nafuu utakaosaidia ujenzi wa Barabara ya Arusha hadi Holili kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya ushirikiano Afrika kutoka Japan (JICA) Bw. Hideyuki Manioka wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam.
![uj2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Tanzania yasaini hati ya makubaliano
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s72-c/Mantra+1.jpg)
Mantra yasaini makubaliano na Serikali kupiga vita ujangili wa ndovu
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s1600/Mantra+1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
5 years ago
MichuziSERIKALI YASAINI MIKATABA MINNE UJENZI BARABARA YA KABINGO- KASULU- MANYOVU
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto), pamoja na mmoja wa wakandarasi waliosaini mikataba minne ya mradi wa ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabara ya Kabingo - Kasulu -Manyovu (Km 260), wakionesha hati za mikataba hiyo mara baada ya kusaini, mkoani Kigoma.PICHA NA WUUM.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (Wanne kulia pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakishuhudia tukio la utiaji saini mikataba minne ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mantra yasaini makubaliano kupiga vita ujangili
KAMPUNI ya Mantra Tanzania na Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya Maliasili na Utalii, wamesaini mkataba wa makubaliano, ambao umelenga kwa pande zote mbili kushirikiana katika kupiga vita ujangili wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MHGMY208y5E/Vc38PPJe1DI/AAAAAAAHwqY/BQFcayyB8bo/s72-c/Jakaya-Kikwete3-2.jpg)
SEKTA BINAFSI YASAINI HATI YA UADILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-MHGMY208y5E/Vc38PPJe1DI/AAAAAAAHwqY/BQFcayyB8bo/s320/Jakaya-Kikwete3-2.jpg)
Rais alisema hayo katika wakati akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa hati hizo zinazojumuisha sekta ya Umma na Binafsi katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katika hafla hiyo, Mhe. Rais alisaini hati tatu ambazo ni Hati ya ahadi ya uadilifu ya...