Serikali yawataka wananchi kujiamulia vazi la Taifa
Serikali yatoa uhuru kwa wananchi kujiamulia vazi la Taifa litakalowatambulisha watanzania baada ya mapendekezo ya wadau kuwa utumike mkabala wa kupata vitambaa vya vazi hilo.
Serikali imefikia hatua hiyo baada ya kutafakari kwa kina juu ya aina gani ya kitambaa, rangi na mshono wa vazi hilo na hatimaye kutoa wito kwa jamii yenyewe kujichagulia aina ya vazi la Taifa watakalopendezwa nalo.
Akitambulisha aina ya vitambaa vilivyopendekezwa kutumika kama vazi la Taifa Mkurugenzi wa Utamaduni...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Serikali yatambulisha vitambaa vya vazi la taifa nchini!
Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko (kushoto) akisisitiza jambo. (Picha ya Maktaba yetu).
Na Rabi Hume
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imetambulisha vitambaa vitakavyotumika kushona nguo zitakazotumika kuwakilisha vazi la taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
11 years ago
Dewji Blog03 May
Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.
Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Serikali yawataka Watanzania kuiamini serikali na kuchukua tahadhari
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Vazi litakalovaliwa na wengi ndilo la Taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imezitaka jamii ziwe huru kubuni na kuanza kutumia vazi watakalochagua na mavazi yatakayoshika kasi, kupendwa na kuvaliwa na wengi yataweza kutambuliwa kuwa ndiyo vazi la utambulisho wa Mtanzania.
Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni, Profesa Hermas Mwansoko, alisema utambulisho wa kutumia vazi la Taifa ni jambo jema, japo utekelezaji wake ni mgumu kwa Taifa kama Tanzania lenye jamii ya makabila zaidi ya 120, pia
kuna tofauti ya hali ya hewa na mazingira,...
11 years ago
Dewji Blog09 May
Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa
Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.
.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA
Na Andrew Chale
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...
9 years ago
MichuziSampuli ya Vitambaa kwa ajili ya Vazi la Taifa
Vitambaa vya Kanga vilivyopendekezwa kwa ajili ya kutumika kama Vazi la Taifa.
Vitambaa aina ya Vitenge vilivyopendekezwa kwa ajili yaVazi la Taifa
Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
10 years ago
Michuzi13 Nov
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Lorraine Marriot Miss Universe Tanzania 2015 ndani ya Las Vegas na Vazi la Taifa
Lorraine Marriot (pichani) akiwa katika vazi la ubunifu la Taifa .Vazi hili limebuniwa na Adam Hassana Kijangwa kutoka Zanzibar na imeitwa ‘Angel of Ivory’ maana inaonyesha Malaika wa Tanzania anayelinda Tembo wanaouwawa kwa ujangili kwa ajili ya biashara haramu ya pembe za ndovu.
Huyu malaika wa Tanzania yupo kwa ajili ya kuwalinda Tembo na rasilimali zetu na kuwaadhibisha majangili. Nguo yake imeshonwa kwa ubunifu na umahiri mkubwa na hekaheka limebuniwa na Mwanakombo Salim. Pia kabeba...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa
Miss Universe ndani ya vazi la jioni.
Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...