Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sampuli ya Vitambaa kwa ajili ya Vazi la Taifa



Vitambaa vya Kanga vilivyopendekezwa kwa ajili ya kutumika kama Vazi la Taifa.

Vitambaa aina ya Vitenge vilivyopendekezwa kwa ajili yaVazi la Taifa

Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yatambulisha vitambaa vya vazi la taifa nchini!

JM2A

Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko (kushoto) akisisitiza jambo. (Picha ya Maktaba yetu).

Na Rabi Hume

Serikali ya Tanzania kupitia kwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imetambulisha vitambaa vitakavyotumika kushona nguo zitakazotumika kuwakilisha vazi la taifa.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...

 

11 years ago

Michuzi

RIADHA TABORA WAJIFUA KWA AJILI YA MASHINDANO YA TAIFA

Timu ya Riadha ya Mkoa wa Tabora ikiwa kwenye mazoezi makali katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ikijiandaa kushiriki mashindano ya riadha taifa yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki hii jijini Dar.
Na Allan Ntana,Tabora
TIMU ya Riadha ya mkoa wa Tabora ipo katika mazoezi makali kujiandaa na mashindano ya Riadha Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki hii jijini Dar e s salaam.
Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tabora Salum Tarraddady, alisema jumla ya...

 

11 years ago

Michuzi

CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa

Na Hassan Hamad (OMKR)
Chama Cha Wananchi CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa utakaoambatana na uchaguzi wa viongozi wakuu wa Kitaifa wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi kuu za Chama hicho Buguruni Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amesema maandalizi yote ya msingi kwa ajili ya mkutano huo yamekamilika.  Maalim Seif amesema katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 hadi 27 mwezi huu,...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiikabidhi Timu ya Taifa ya Paralympic vifaa vya michezo kwa ajili ya kwenda nchini Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika  (All African Games).Kushoto anayepokea vifaa hivyo ni Kocha wa Timu hiyo Bw. Zaharan Mwenemti. 

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiongea na kikosi cha...

 

9 years ago

Mtanzania

Vazi litakalovaliwa na wengi ndilo la Taifa

Profesa Hermans MwansokoNA MWANDISHI WETU

SERIKALI imezitaka jamii ziwe huru kubuni na kuanza kutumia vazi watakalochagua na mavazi yatakayoshika kasi, kupendwa na kuvaliwa na wengi yataweza kutambuliwa kuwa ndiyo vazi la utambulisho wa Mtanzania.

Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni, Profesa Hermas Mwansoko, alisema utambulisho wa kutumia vazi la Taifa ni jambo jema, japo utekelezaji wake ni mgumu kwa Taifa kama Tanzania lenye jamii ya makabila zaidi ya 120, pia
kuna tofauti ya hali ya hewa na mazingira,...

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YAENDA Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya FIFA

starsKikosi cha Taifa Stars kimeondoka leo alfajiri kwenda Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) dhidi ya wenyeji itakayochezwa Machi 5 mwaka huu. Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ina msafara wa watu 25 unaoongozwa na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).  Timu imefikia hoteli ya Safari jijini humo. Mechi hiyo itachezwa kwenye Uwanja wa Sam Nujoma, na kikosi cha Taifa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa

1-Asia-Idarous-akiwa-na-vazi-la-Kitanzania

Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.

.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA

Na Andrew Chale

MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin  kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika  onyesho  kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa  ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa  alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yawataka wananchi  kujiamulia vazi la Taifa

 

Serikali yatoa uhuru kwa wananchi kujiamulia vazi la Taifa litakalowatambulisha watanzania baada ya mapendekezo ya wadau kuwa utumike mkabala wa kupata vitambaa vya vazi hilo.

Serikali imefikia hatua hiyo baada ya kutafakari kwa kina juu ya aina gani ya kitambaa, rangi na mshono wa vazi hilo na hatimaye kutoa wito kwa jamii yenyewe kujichagulia aina ya vazi la Taifa watakalopendezwa nalo.

Akitambulisha aina ya vitambaa vilivyopendekezwa kutumika kama vazi la Taifa Mkurugenzi wa Utamaduni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani