Sampuli ya Vitambaa kwa ajili ya Vazi la Taifa
Vitambaa vya Kanga vilivyopendekezwa kwa ajili ya kutumika kama Vazi la Taifa.
Vitambaa aina ya Vitenge vilivyopendekezwa kwa ajili yaVazi la Taifa
Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Serikali yatambulisha vitambaa vya vazi la taifa nchini!
Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko (kushoto) akisisitiza jambo. (Picha ya Maktaba yetu).
Na Rabi Hume
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imetambulisha vitambaa vitakavyotumika kushona nguo zitakazotumika kuwakilisha vazi la taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenziwa Idara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s72-c/unnamed+(19).jpg)
RIADHA TABORA WAJIFUA KWA AJILI YA MASHINDANO YA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s1600/unnamed+(19).jpg)
Na Allan Ntana,Tabora
TIMU ya Riadha ya mkoa wa Tabora ipo katika mazoezi makali kujiandaa na mashindano ya Riadha Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki hii jijini Dar e s salaam.
Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tabora Salum Tarraddady, alisema jumla ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-di7MxfRLY4I/U53aX3Hiq1I/AAAAAAAFqyQ/ytF9YEvu8w4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa
Chama Cha Wananchi CUF kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya Mkutano Mkuu Taifa utakaoambatana na uchaguzi wa viongozi wakuu wa Kitaifa wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi kuu za Chama hicho Buguruni Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad amesema maandalizi yote ya msingi kwa ajili ya mkutano huo yamekamilika. Maalim Seif amesema katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 hadi 27 mwezi huu,...
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Vazi litakalovaliwa na wengi ndilo la Taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imezitaka jamii ziwe huru kubuni na kuanza kutumia vazi watakalochagua na mavazi yatakayoshika kasi, kupendwa na kuvaliwa na wengi yataweza kutambuliwa kuwa ndiyo vazi la utambulisho wa Mtanzania.
Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni, Profesa Hermas Mwansoko, alisema utambulisho wa kutumia vazi la Taifa ni jambo jema, japo utekelezaji wake ni mgumu kwa Taifa kama Tanzania lenye jamii ya makabila zaidi ya 120, pia
kuna tofauti ya hali ya hewa na mazingira,...
11 years ago
Michuzi04 Mar
TAIFA STARS YAENDA Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya FIFA
![stars](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/C73y1CxUg4rVSgwMM3-mTBDmL_vpzWFhKJc4YTxzn05HjFdsBjsCjy10oUIu2SqO_Udzv6pRDS5-8U_e9KZ3Oiq_MOFTTdi_KNQUzJWMOofKgb_lIukI6sY=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/stars.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 May
Asia Idarous atikisa Dunia na Vazi la Taifa
Asia Idarous akiwa na vazi la Kitanzania.
.. NI BAADA YA SHOO YAKE NCHINI NIGERIA
Na Andrew Chale
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika Abuja, Nigeria, huku asilimia kubwa kwenye jukwaa hilo akitumia vazi lililonakshiwa alama za bendela ya Tanzania, ‘National colours Asia idarous’s...
9 years ago
StarTV12 Nov
 Serikali yawataka wananchi kujiamulia vazi la Taifa
Serikali yatoa uhuru kwa wananchi kujiamulia vazi la Taifa litakalowatambulisha watanzania baada ya mapendekezo ya wadau kuwa utumike mkabala wa kupata vitambaa vya vazi hilo.
Serikali imefikia hatua hiyo baada ya kutafakari kwa kina juu ya aina gani ya kitambaa, rangi na mshono wa vazi hilo na hatimaye kutoa wito kwa jamii yenyewe kujichagulia aina ya vazi la Taifa watakalopendezwa nalo.
Akitambulisha aina ya vitambaa vilivyopendekezwa kutumika kama vazi la Taifa Mkurugenzi wa Utamaduni...
10 years ago
Michuzi13 Nov