Setif Entete ndio klabu bingwa barani Afrika
Klabu Entente Satif ya Algeria kwa mara ya kwanza katika miaka 26 imekuwa klabu bingwa barani Afrika baada ya kuishinda timu ya AS Vita Club ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo kutokana na mabao ya ugenini kufuatia sare ya 3-3 siku ya Jumamosi. Round ya kwanza ya mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Mustapha Tchakerwalitoka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV04 Nov
Setif Entete yatwaa ubingwa Klabu Bingwa Afrika
Kilabu ya Entente Satif kutoka Algeria imeshinda ubingwa wa kilabu bora barani Afrika kwa mara ya kwanza katika miaka 26 baada ya kuishinda kilabu ya AS Vita Club kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutokana na mabao ya ugenini kufuatia sare ya 3-3 siku ya jumamosi.
Raundi ya pili ya fainali katika uwanja wa Mustapha Tchaker mjini Blida ilikamilika kwa sare ya 1-1,siku sita baada ya sare ya 2-2 katika mechi ya kwanza iliochezwa mjini Kinshasa.
Setif ilianza kuona lango na wapinzani...
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Setif Entete ndio kilabu bingwa Afrika
9 years ago
Bongo505 Oct
Mbwana Samatta aipeleka TP Mazembe fainali ya klabu bingwa barani Afrika
11 years ago
MichuziNews Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Klabu bingwa barani Ulaya
10 years ago
Michuzi9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Barcelona ndio klabu bingwa 2015
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
TP Mazembe nje Klabu Bingwa Afrika
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
TP Mazembe 2-1 USM Alger klabu bingwa Afrika