Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh13 bil ‘zatafunwa’ kijanja Rita, GEPF

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma(PPRA) imebaini ufisafi wa Sh13.48 bilioni katika miradi miwili ya ujenzi wa majengo ya Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi(GEPF) na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) baada ya kufanya ukaguzi katika majengo hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sekta isiyo rasmi yachangia GEPF bil. 4/-

TANGU kuanzishwa kwa mpango wa uchangiaji wa hiari kwa sekta zisizo rasmi, Mfuko  wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) umeweza kuchangiwa sh bilioni 4.43 na sekta hiyo. Mkurugenzi wa Masoko wa...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF WAANZISHA MPANGO WA GEPF DIASPORA SCHEME

Mkurugenzi kutoka wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa anaeshughulikia dawati la diaspora,Bi Rosemary Chambe Jairo akifungua rasmi mkutano wa Watanznia waishio nchini Botswana wakati walipokutana na Ujumbe kutoka Mfuko wa GEPF ulikuwa ukiitambulisha mpango wa GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) nchini humo,hivi karibuni.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Botswana,Bw Kisasi akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.Mkurugenzi wa Uendeshaji kutoka Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAISHIO BOTSWANA KUANZA KUFAIDIKA NA MFUKO WA GEPF KUPITIA MPANGO WA ‘GEPF DIASPORA SCHEME’ (GDS)

Ujumbe wa Mfuko wa GEPF nchini Tanzania na Mwenyekiti wa Watanzania waishio nchini Botswana wakiongozwa na Meneja Mahusiano wa Benki ya FNB Botswana, Bibi Patricia Mpelega (wa pili kushoto) wakati wakielekea kwenye tawi (Branch) la benki hiyo kwaajili ya uzinduzi wa akaunti maalum ya kuwasilisha michango kwa Watanzania wainshio nchini humo, kwa kujiwekea akiba zao za baadae.Mkuu wa Kitengo cha Masoko kutoka Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina (wa tatu kulia) akimpa maelezo mafupi juu...

 

10 years ago

Bongo5

Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’

Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’. Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.” Hadi sasa bado […]

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI

Waziri wa Kazi na Ajira Mh Gaudentia Kabaka akisaini katika kitabu cha wageni katika banda la GEPF Meneja Masoko na huduma kwa wateja…

 

10 years ago

Michuzi

GEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU

Timu ya Mfuko wa Pensheni wa GEPF ikipasha kabla ya kuanza kwa bonanza maalum la wiki ya GEPF (GEPF Week) katika viwanja vya shule ya sekondari ya Popatlal. Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini wa Mfuko wa GEPF Bi Joyce Shaidi akitoa neno la ufunguzi kabla ya kuanza rasmi kwa bonanza la wadau wa Mfuko wa GEPF. aliye mkono wake wa kushoto ni kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, Omary Ntungu.Washindiwa Bonanza la GEPF timuya Chuo cha Utumishi cha Tanga wakifurahia ushindi baada ya kipenga cha mwisho...

 

11 years ago

Mwananchi

Fedha za Madola ‘zatafunwa’

Licha ya Kampuni ya Said Salim Bakhresa kutoa msaada wa dola 93,000 (Sh 153.9 milioni) kwa ajili ya kusaidia timu za Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola, imebainika kuwa fedha hizo zimetumika kinyume na malengo hayo.

 

10 years ago

GPL

FEDHA ZA LOWASSA ZATAFUNWA

Na Makongoro Oging’ WANACHAMA wa kundi la Marafiki wa Edward Lowassa waliochanga fedha za kumwezesha waziri mkuu huyo wa zamani kuchukua fomu ya kugombea urais, wamemtuhumu aliyekuwa naibu katibu wao, George Kivuyo  (pichani) kutafuna fedha hizo. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1VKumU6

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti wa mafuta kugharimu Sh13 bilioni

Utafiti wa mafuta kwenye bonde la ufa linalopitia mikoa ya Arusha, Simiyu, Shinyanga, Tabora na Lindi unaanza leo, kwa mujibu wa Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), James Mataragio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani