Shein azindua umeme Dongongwe
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amezindua mradi wa umeme katika Kijiji cha Dongongwe, Mkoa wa Kusini Unguja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AZINDUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA DONGONGWE KATI UNGUJA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Rais Mugabe azindua kituo cha umeme
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amezindua mradi wa upanuzi wa kituo cha umeme ambacho ni cha pili kwa ukubwa nchini humo.
10 years ago
MichuziMh. Mwijage azindua mradi wa Umeme Kanda ya Kusini
Na Teresia Mhagama.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage ameanza rasmi ziara ya kikazi katika kanda ya kusini ambapo ameanza ziara hiyo kwa kuzindua rasmi transfoma yenye uwezo wa 50KVA itakayohudumia wateja 200 katika kijiji cha Maguvani wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika wilaya ya kitanesco ya Makambako, Mhandisi Abdulrahman Nyenye, amesema kuwa uzinduzi wa mradi huo ni kielelezo cha...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage ameanza rasmi ziara ya kikazi katika kanda ya kusini ambapo ameanza ziara hiyo kwa kuzindua rasmi transfoma yenye uwezo wa 50KVA itakayohudumia wateja 200 katika kijiji cha Maguvani wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika wilaya ya kitanesco ya Makambako, Mhandisi Abdulrahman Nyenye, amesema kuwa uzinduzi wa mradi huo ni kielelezo cha...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Shein: SMZ itaendelea kusambaza umeme
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Dongongwe Mkoa wa Kusini Unguja na kusema serikali ina wajibu wa kupeleka kwa wananchi huduma bora za kijamii, kiuchumi na maendeleo.
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI NISHATI AZINDUA MRADI WA UMEME JUA NANJIRINJI
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania