Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shibuda amwangukia JK kuhusu Muungano

>Rais Jakaya Kikwete, ameombwa katika hutuba yake ya kuzindua Bunge la Katiba, atoe msimamo wake juu ya Muundo wa Muungano, badala ya kuwa na msimamo wa makundi ya kisiasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho

Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho

Zitto Kabwe, Mjumbe, BMK

Iwapo Tanzania ni Shirikisho (Federation) au ni Muungano (Union) ni jambo ambalo limekuwa likuzua utata kwa miaka mingi. Hivi sasa katika vikao vya Kamati za Bunge maalumu la Katiba jambo hili limezua mjadala mkubwa ambapo baadhi ya Wajumbe wanapendekeza kuwa neno Shirikisho litoke kwenye sura ya kwanza ya Rasimu ya Katiba na wengine wakipendekeza libakie au hata kuweka wazi kabisa kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Shirikisho la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtazamo wa Nyerere kuhusu Muungano

MWAKA 1995, wakati Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi, Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maoni ya wananchi kuhusu Muungano

JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...

 

10 years ago

Mwananchi

Masharti kuhusu fedha za Jamhuri ya Muungano

Katika Muundo wa Shirikisho, Benki Kuu ya Jamhuri ya Muungano ni moja Mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba unaendelea huku kamati karibu zote zikiwa zimekamilisha mijadala.

 

10 years ago

Habarileo

Vuai aionya CUF kuhusu Muungano

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM- Zanzibar, Vuai Ali Vuai amekitahadharisha Chama cha Wananchi (CUF) kijue kwamba Muungano ukivunjika basi Zanzibar nayo haitokuwa salama na itasambaratika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba afichua siri ya JWTZ kuhusu Muungano

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa siri ya msimamo wa majeshi ya Tanzania kuhusu muundo wa Muungano wa sasa. Jaji Warioba ametoa siri hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ikulu yaja juu kuhusu Hati ya Muungano

sefue

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue.

TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014

Siku 12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano huu na wengine wana wajukuu.

            Inasikitisha sana kuwa leo, miaka 50 baadaye ipo dhana potofu inayojengwa kuwa Muungano huu si...

 

11 years ago

Dewji Blog

Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Untitled 000

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani. 

Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani