Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shilole kuibuka na ‘Chuna Buzi’

MSANII wa miondoko ya mduara nchini, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, anatarajia kuachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Chuna Buzi’, hivi karibuni. Mwanadada huyo ambaye anatamba na wimbo ‘Nakomaa na Jiji’,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Fraga — Kama Buzi

Wimbo mpya wa msanii Fraga unaitwa “Kama Buzi”.Kazi hii imefanyika ndani ya studio za Uprise Music” style ya mziki huu ni “Singeli safi”. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

10 years ago

Bongo5

Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)

Licha ya kuwa Shilole amefanikiwa zaidi kwenye muziki, lakini ameweka wazi kuwa hajaitupa kabisa fani yake ya uigizaji ambayo alianza nayo kabla ya muziki. Akizungumza kupitia kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm wakati akitambulisha wimbo wake mpya Dec.15, amesema kuwa bado anajipanga na atakuja kutoa filamu yake mpya siku za usoni. “Saizi nimejikita sana […]

 

9 years ago

GPL

DK. SLAA KUIBUKA JANGWANI... 90%

Na Richard Manyota USHAWISHI mkubwa umefanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha kuwa, katibu mkuu aliye mapumzikoni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wallboard Slaa anashiriki kwenye kampeni ya chama hicho tawala, Uwazi Mizengwe limeambiwa.  Dk. Wallboard Slaa. Chanzo kutoka ndani ya CCM kilisema hivi karibuni kuwa, mazungumzo yamefanikiwa kwa kiwango kikubwa na kwamba upo uwezekano wa asilimia 90 kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young D kuibuka na Rock Star

KINDA wa muziki wa hip hop nchini, Young D, anatarajia kuachia kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda kwa jina la ‘Rock Star’. Young D, alishawahi kutamba na kazi zake nyingi ikiwamo ‘Boma la Utete’ iliyofanya vizuri katika tasnia ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mapya ya Gwajima yazidi kuibuka Dar

Joseph GwajimaMAPYA yamezidi kuibuka katika sakata la Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima, baada ya kuthibitika kwamba bastola iliyokamatwa katika harakati za kile kinachotajwa kutaka kumtorosha kutoka katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam, ni mali yake.

 

10 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA KINARA WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA!

  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(kulia) akielezea jambo kwa wana habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza walioingia katika hatua ya mwisho ya kushindania Tuzo za Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wana habari uliofanyika katika hotel ya New Africa ya jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tuzo hizo Caroline Gul na mmoja wa wadhani kutoka International Eye Hospital Dr. Recep Yujel.Jaji mkuu katika mchakato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani