Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. SLAA KUIBUKA JANGWANI... 90%

Na Richard Manyota USHAWISHI mkubwa umefanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha kuwa, katibu mkuu aliye mapumzikoni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wallboard Slaa anashiriki kwenye kampeni ya chama hicho tawala, Uwazi Mizengwe limeambiwa.  Dk. Wallboard Slaa. Chanzo kutoka ndani ya CCM kilisema hivi karibuni kuwa, mazungumzo yamefanikiwa kwa kiwango kikubwa na kwamba upo uwezekano wa asilimia 90 kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young D kuibuka na Rock Star

KINDA wa muziki wa hip hop nchini, Young D, anatarajia kuachia kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda kwa jina la ‘Rock Star’. Young D, alishawahi kutamba na kazi zake nyingi ikiwamo ‘Boma la Utete’ iliyofanya vizuri katika tasnia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shilole kuibuka na ‘Chuna Buzi’

MSANII wa miondoko ya mduara nchini, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, anatarajia kuachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Chuna Buzi’, hivi karibuni. Mwanadada huyo ambaye anatamba na wimbo ‘Nakomaa na Jiji’,...

 

10 years ago

Habarileo

Mapya ya Gwajima yazidi kuibuka Dar

Joseph GwajimaMAPYA yamezidi kuibuka katika sakata la Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Joseph Gwajima, baada ya kuthibitika kwamba bastola iliyokamatwa katika harakati za kile kinachotajwa kutaka kumtorosha kutoka katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam, ni mali yake.

 

10 years ago

Vijimambo

KIBIRA FILMS ITERNATIONAL KUIBUKA NA MOVI NYINGINE

  Kibirafilms International is getting ready to produce its next feature film. “ESTHER WANJIRU” is a film about an African couple going through life and relationship struggles in the United States, with a bizarre twist. The movie's tag line summarizes it here: "In a parade of crocodiles, it is not easy to spot lizards."  Or, as we say it in Swahili, "Katika msafara wa mamba, kenge wamo."  It will be shot locally in the Twin Cities. Please see the synopsis at the bottom of this email.
 You are...

 

10 years ago

Mtanzania

Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania

GEORGE-KAYALA-2NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA KINARA WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA!

  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(kulia) akielezea jambo kwa wana habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza walioingia katika hatua ya mwisho ya kushindania Tuzo za Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wana habari uliofanyika katika hotel ya New Africa ya jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tuzo hizo Caroline Gul na mmoja wa wadhani kutoka International Eye Hospital Dr. Recep Yujel.Jaji mkuu katika mchakato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani