Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOO YA J.LO NUSURA IONDOKE NA WAZIRI

Mwamamuziki, Jennifer Lopez ‘J.Lo akitumbuiza pamoja na dancers wake.
Rabat, Morocco
WAZIRI wa Mawasiliano wa Morocco, Mustapha Khalfi, amejikuta katika wakati mgumu kufuatia kufanyika kwa shoo ya mwamamuziki, Jennifer Lopez ‘J.Lo, ambaye alivaa mavazi yaliyoacha nje asilimia kubwa ya maungo yake pamoja na dancers wake. Shoo hiyo ilifanyika Mei 29, mwaka huu katika Tamasha la Mawazine lililofanyika huko Rabat na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAFUASI WA CCM,CHADEMA NUSURA WAZITWANGE MKUTANO WA NAIBU WAZIRI WA MAJI

 Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka kuzichapa ulipotokea mzozo katika mkutano wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla katika Uwanja wa Shule ya Mavurunza, Kata ya Salanga, Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam jana. Wafuasi wa CCM na Chadema wakitaka kuzipiga kavu kavu baada ya kutokea mzozo ambapo wanaCCM walikuwa wakimzomea...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafuasi wa CCM,CHADEMA nusura wazitwange mkutano wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla

01

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka kuzichapa ulipotokea mzozo katika mkutano wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla katika Uwanja wa Shule ya Mavurunza, Kata ya Salanga, Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam jana.

Na Mwandishi wetu

Jitihada za Mbunge wa Ubungo John Mnyika kuwazuia wananchi wasiendelee kumzomea Naibu waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitila: Katiba mpya hadi CCM iondoke

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es Salaam Kitivo cha Elimu (DUCE), Dk. Kitila Mkumbo, amesema kuwa katiba mpya itakayokidhi matakwa ya wananchi, itapatikana baada ya Chama Chama Mapinduzi...

 

9 years ago

GPL

BAADA YA WAZIRI KUMUWEKEA NGUMU CHRIS BROWN: MSIJISUMBUE, NAKUJA KUFANYA SHOO

Mwanamuziki wa muziki wa RnB, Chris Brown. New York, Marekani MKALI wa muziki wenye mahadhi ya RnB, Chris Brown, ameibuka na kujibu zile taarifa zilizotoka kuwa kawekewa ngumu kwenda Australia kwa ajili ya kufanya shoo Desemba, mwaka huu kwa kusema: “Nakuja”. Mwishoni mwa wiki iliyopita kulikuwepo taarifa kwenye mitandao mbalimbali kuwa staa huyo wa Kibao cha Royal, amewekewa ngumu kwenda nchini humo kufanya shoo...

 

10 years ago

GPL

HAUSIGELI NUSURA AUAWE

Makongoro Oging’ na Shani Ramadhan
Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu. Rehema Ally akiwa na majeraha mwilini mwake baada ya kujeruhiwa. Akizungumza na Uwazi nyumbani kwa mwajiri wake aliyejulikana kwa jina moja la...

 

11 years ago

GPL

MREMBO NUSURA ABAKWE

Mrembo aliyevaa kivazi cha ajabu kilichoacha wazi sehemu zake nyeti akisaidiwa na wasamaria wema baada ya kuvaa khanga. Stori:  Issa Mnally na Richard Bukos
MREMBO wa haja ambaye jina halikupatikana amenusurika kubakwa na wanaume baada ya kuvaa kivazi kilichoacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake nyeti.…

 

9 years ago

GPL

MIRATHI NUSURA IMTOE ROHO!

Masanga Said Bori, anayevuja damu. Boniphace Ngumije na Mayasa Mariwata BALAA! Mkazi wa Mtaa wa Manyoni, Ilala jijini Dar aliyejulikana kwa jina la Masanga Said Bori (pichani), Jumamosi iliyopita nusura atolewe uhai akitetea mirathi ya nyumba iliyoachwa na shangazi yake, Mwanafatima binti Mchinga akiwa na ndugu zake, Panya Bori, Mchinga Bori, Mwanafatima Bori na Zaujiha Bori. Kwa mujibu wa chanzo, nyumba hiyo namba 27/1 yenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape

Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema wa Mkoa wa Manyara, Paulina Gekul jana alilazimika kuokolewa na polisi wilayani hapa, kutokana na kushambuliwa na Mkurugenzi wa Halmashari ya Mji wa Babati, Omari Mkombole na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Mohamedi Fara, wakigombea kabrasha lenye majina ya wanaopaswa kupewa ardhi.

 

9 years ago

Mtanzania

Makonda, kubenea nusura wazichape

1Na Shabani Matutu, Dar es salaam

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.

Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.

Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani