Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shoo ya Koffi yaamsha mori za bendi nchini

DSC_2951NA MWANDISHI WETU

SHOO ya mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi barani Afrika kutoka Congo (DRC), Koffi Olomide ‘Mopao Mokonzi’ iliyofanyika usiku wa kuamkia jana katika ukumbi wa Escape One Mikocheni, imeongeza hamasa kwa bendi za muziki wa dansi nchini kujifunza namna ya kudumu kwa muda mrefu katika muziki huo huku ukiwa katika ubora wako.

Katika onyesho hilo lililokuwa na shamra shamra za kupiga ‘selfie’ kwa idadi kubwa ya mashabiki waliofurika katika ukumbi huo, wanamuziki wa bendi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Koffi Olomide kufanya shoo ya Selfie leo Dar

4129894293_e64ddfb827_bNA CHRISTOPHER MSEKENA

WAKATI mwanamuziki mkongwe katika muziki wa dansi anayetokea Congo, Koffi Olomide akitarajiwa kufanya onyesho la nguvu leo usiku, mmiliki na mwanamuziki wa bendi ya Malaika, Christian Bella, amewataka wasanii wawe makini kufuatilia onyesho lake ili wajifunze kitu kutoka kwa mwanamuziki huyo.

Christian Bella alisema wasanii wanatakiwa kuiga na kujifunza namna ya utumbuizaji na siri ya kuendelea kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu kwa mkongwe huyo anayetarajiwa kufanya...

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo

Bella na Koffi

Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.

Bella na Koffi

Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.

“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi bendi ya walemavu inayokubalika nchini

Nimekutana na watu wengi wakidai kuwa wana tatizo fulani linalowafanya washindwe kuonyesha uwezo wao kwenye kazi fulani, wengine wakikimbia kuomba, kuwa tegemezi kwa madai kuwa ni walemavu.

 

10 years ago

GPL

BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE

Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)

 

11 years ago

Mwananchi

Extra Bongo; bendi inayoongoza kwa burudani ya ‘unenguaji’ nchini

Mashabiki waliowahi kuhudhuria maonyesho ya bendi ya muziki wa dansi nchini ya Extra Bongo watakubaliana nami kwamba ina wacheza shoo (madansa) makini, wenye uelewa mpana na pengine kukonga zaidi nyoyo za mashabiki katika tasnia hiyo.

 

10 years ago

CloudsFM

Shetta kuangusha bonge la shoo nchini Norway

Staa wa Bongo Fleva,Shetta leo anatarajia kuangusha bonge la shoo jijini Oslo nchini Norway.

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Shoo ya Diamond Kwenye Born2Win Concert Nchini Uganda

Usiku wa jana msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda.
Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.

DIAMOND13

Diamond1341 DIAMOND134 DIAMOND288 DIAMOND186

 

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AGONGA SHOO YA NGUVU, AWEKA HISTORIA NEW JERSEY‏ NCHINI MAREKANI

Mwanamuziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz anayekimbiza vibaya mno kwenye anga za Bongo Flava akipagawisha mashabiki wake New Jersey nchini Marekani. Diamond na madancer wake wakijaribu kukata kiu ya mashabiki wake wa pwani ya mashariki.…

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya Mwakyembe yaamsha wadau

Shirika la Ndege la Flight Link la Dar es Salaam limesema litaanza kutoa huduma ya usafiri wa anga kati ya Dar es Salaam na Iringa muda wowote kuanzia sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani