Shoo ya Koffi yaamsha mori za bendi nchini
NA MWANDISHI WETU
SHOO ya mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi barani Afrika kutoka Congo (DRC), Koffi Olomide ‘Mopao Mokonzi’ iliyofanyika usiku wa kuamkia jana katika ukumbi wa Escape One Mikocheni, imeongeza hamasa kwa bendi za muziki wa dansi nchini kujifunza namna ya kudumu kwa muda mrefu katika muziki huo huku ukiwa katika ubora wako.
Katika onyesho hilo lililokuwa na shamra shamra za kupiga ‘selfie’ kwa idadi kubwa ya mashabiki waliofurika katika ukumbi huo, wanamuziki wa bendi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Koffi Olomide kufanya shoo ya Selfie leo Dar
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WAKATI mwanamuziki mkongwe katika muziki wa dansi anayetokea Congo, Koffi Olomide akitarajiwa kufanya onyesho la nguvu leo usiku, mmiliki na mwanamuziki wa bendi ya Malaika, Christian Bella, amewataka wasanii wawe makini kufuatilia onyesho lake ili wajifunze kitu kutoka kwa mwanamuziki huyo.
Christian Bella alisema wasanii wanatakiwa kuiga na kujifunza namna ya utumbuizaji na siri ya kuendelea kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu kwa mkongwe huyo anayetarajiwa kufanya...
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Jinsi bendi ya walemavu inayokubalika nchini
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/MG_1128.jpg)
BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Extra Bongo; bendi inayoongoza kwa burudani ya ‘unenguaji’ nchini
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Shetta kuangusha bonge la shoo nchini Norway
Staa wa Bongo Fleva,Shetta leo anatarajia kuangusha bonge la shoo jijini Oslo nchini Norway.
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Picha: Shoo ya Diamond Kwenye Born2Win Concert Nchini Uganda
Usiku wa jana msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda.
Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.
11 years ago
GPLDIAMOND AGONGA SHOO YA NGUVU, AWEKA HISTORIA NEW JERSEY NCHINI MAREKANI
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kauli ya Mwakyembe yaamsha wadau